Wasudan wana mbinu chafu kama wamisri kuna filimbi zinalia ovyoo kutoka kwa washabiki kuwachanganya vijana lakini wapo ngangari. Mpira umesimama huyu kipa maepep DIHILE kaumia dakika ni 42 bado 1-0
Tumewamudu sana tu ingawa wanatushambulia lakini na sisi tunapiga sana counter attack halfu wachezaji wetu wanaonekana vijana hivyo wanakimbiza sana hivi vidingi.
Wasudan wana mbinu chafu kama wamisri kuna filimbi zinalia ovyoo kutoka kwa washabiki kuwachanganya vijana lakini wapo ngangari. Mpira umesimama huyu kipa maepep DIHILE kaumia dakika ni 42 bado 1-0
Sounds good Nadhani tumeshinda mpira huo. I will be the happiest person here. tell the results, I go out now to fetch Absolute VODKA and kitimoto to relax