Usisikitike sana mkuu, chukulia kama Simba na Al ahly, walivyo kuja taifa walikaa. Misri alikua na faida ya home ground. Afcon wengine wote tutakua ugenini tofauti na Misri.
Usisikitike sana mkuu, chukulia kama Simba na Al ahly, walivyo kuja taifa walikaa. Misri alikua na faida ya home ground. Afcon wengine wote tutakua ugenini tofauti na Misri.
Kocha afanyie kazi swala la upigaji pasi timu ata kupiga pasi tano tu ni tatizo..katikati tulimezwa himid inaonyesh ayuko fiti, dakika kumi za mwisho kidogo kulikuwa na ahuen big up mohamed hussen na manula...
Azam wajinga sana ni mara nyingi tu kukiwa na game wana kick out watu katika App yao sasa hujui nini madhumuni yao ya kuweka App, yaani mechi ya kirafiki tu ya Tz ndio mbwembwe zote hizo sasa wakipata EPL si watazima kabisa App.
Lakini kawafikisha Afcon na mlikuwa mnamnanga hivihivi.[/QUOTE]Unaweza ukafafanua ni kwa vip star imefika afcon, tumia akili yko kunyumbua alafu urudi tena kuja kuitathmin kauli yko
Kocha afanyie kazi swala la upigaji pasi timu ata kupiga pasi tano tu ni tatizo..katikati tulimezwa himid inaonyesh ayuko fiti, dakika kumi za mwisho kidogo kulikuwa na ahuen big up mohamed hussen na manula...