Taifa lenye tabia hizi lazima lisonge mbele! Tunakwama wapi?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,798
71,218


Katika taifa tunaloambiwa lina ukabila wa kiwango cha huu na ushindani wao wa kisiasa ulisababisha mamia ya watu kuuana, Basi inapofika mahali viongozi wanajishusha na kuombana radhi hadharani kama ilivyokuwa kwa Kenyatta na Odinga Basi hata maendeleo lazima yawepo kwani kuna muafaka wa kitaifa.

Sisi tunaponzwa na unafiki na chuki za sirisiri, usoni twajifanya tuna amani na upendo moyoni tunachukiana na kutafutiana mabaya mfano kesi na vifo. Tutakaa lini na kushirikiana kuleta furaha?

Ni bahati kuwa Watanzania wanaasili ya upole tuu, vinginevyo hali ya kisiasa ya sasa ingekuwa kwingine tayari matukio ya mauaji yangetamalaki. Katika ubinadamu hakuna mbabe kuliko wote, ndio maana watu kama Hitler alisalimu amri na kujiua. Gaddafi ameuawa kwa kudhalilishwa sana huku akilia machozi, Saddam aliveshwa kitanzi anyongwe akiwa na sura ya hudhuni sana kama vile hakupata kuwa mbabe kabisa.

Kabudi amewaambia Wakenya waache ukabila watuige. Je, na sisi hatuwezi kuacha chuki na KUWAIGA?
 
Rais wangu WA majukwaani saizi ni muda wa kitembea na Pacha lako ili kupunguza stress za watu Tutahakikisha tunamjazia strategies za kuboresha maisha ya watanzania...

Saizi Maprinter tayari ndege ikitua Tu na dhana ya ujamaa itatumika ni Raha tupu kuanzia na serikali ya VIWANDA kufufua vyote Kwa fedha zetu wenyewe wenye viwanda vya stress watatujoin wenyewe..

Saizi ni kuchota hela (BOT/HAZINA) kila MTU alipwe laki 500000 Kwa mwezi fungua viwanda vyote vilivyokufa walipe Kodi na gawio KAZI imeisha pokea mishahara usifanye KAZI umetaka mwenyewe..



 
Toka lini malaika mkuu, mpenda sifa, akaomba radhi na kutubu dhambi, yeye kazi yake ni kubatiza kwa moto.
 
Kuhusu Maridhiano sahau, Chadema kubalini tu siasa zimewashinda, mbinu hamna, kila siku tunawaambia Mbowe hafai ameishiwa mbinu za kufanya siasa mnabisha, mnaona sasa chama kinazidi kuzama mnalazimisha maridhiano yasiyokuwa na maana yoyote, na mwakani hakuna mbunge wa Chadema atakaerudi bungeni.
 
Rais wangu WA majukwaani saizi ni muda wa kitembea na Pacha lako ili kupunguza stress za watu Tutahakikisha tunamjazia strategies za kuboresha maisha ya watanzania...

Saizi Maprinter tayari ndege ikitua Tu na dhana ya ujamaa itatumika ni Raha tupu kuanzia na serikali ya VIWANDA kufufua vyote Kwa fedha zetu wenyewe wenye viwanda vya stress watatujoin wenyewe..

Saizi ni kuchota hela (BOT/HAZINA) kila MTU alipwe laki 500000 Kwa mwezi fungua viwanda vyote vilivyokufa walipe Kodi na gawio KAZI imeisha pokea mishahara usifanye KAZI umetaka mwenyewe..

Picha inasoma kuwa hakuna mvuto wowote zaidi ya kupotezewa muda. Siri ni kuwa waliojaa hapo ni watumishi waliopewa mwito maalumu kwenda, na wameenda kwa kuogopa mizengwe kwenye ajira zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu Maridhiano sahau, Chadema kubalini tu siasa zimewashinda, mbinu hamna, kila siku tunawaambia Mbowe hafai ameishiwa mbinu za kufanya siasa mnabisha, mnaona sasa chama kinazidi kuzama mnalazimisha maridhiano yasiyokuwa na maana yoyote, na mwakani hakuna mbunge wa chadema atakaerudi bungeni
Akatae maridhiano na Chadema lakini awe na maridhiano na Watanzania. Kitendo cha kila shughuli kuita wachekeshaji wewe unakitafsirije kama sio kukosa mvuto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ELIMU YA MALEBO



Leo tuangalie Malebo mawili ya WADAIWA SUGU na VYETI FEKI



Kama jina lako lipo hapa nawe linakuhusu kwa asilimi 200 perfect maana wengine wanazuia wengine wanaendelea kupaka rangi ili yangae



VYETI FEKI

Orodha ya Watumishi Wenye Vyeti Feki

Mie nipo ni kama LEBO INANIHUSU kushangilia raha lakini tutaenda kwa WAGANGA WA KIENYEJI huwaga wanasema MHAYA/MPOLE/MYATULU HUYOOO USISAHAU MWANAJESHI (WALE WA SPECIALIZATION ZA MAJINA MPOO)



WADAIWA SUGU

http://zanzibar24.co.tz/wp-content/uploads/2016/11/ORODHA_YA_WASUGU_1.pdf



KWA LEBO HIZI NATHANI KUNA MAISHA YA UGAIDI WA KUSAFISHA MAJINA kila la kheri wale wanaopenda kuwa perfect asilimia 100



NI BORA ATAKAYEKAMATWA NA KUELEWA KWA LAZIM A NITAMJENGEA GHOROFA BAHARINI ILI ALE MAISHA KWA AJILI YA MSWALA AU MKEKA WA UONGOZI TANZANIA







WAONGO NA WADANGANYIFU
 
Back
Top Bottom