Taifa lolote lenye GDP ndogo watu wake wengi ni masikini and hence low purchasing power.
VAT Ni kodi inayolipwa na consumer ambayo ndio hawa masikini
Sasa, ili nchi iendelee, inatakiwa kukuza Sekta za uzalishaji zinazogusa watu wengi (Agriculture and Tourism).
Bila Shaka Tanzania ni nchi masikini Kusini mwa Janga la Sahara, hata Kenya wana GDP kubwa kuliko Tanzania. Hivyo basi, tuwe wawazi kabisa, Tanzania bado inahitaji misaada.
Nini kimesababisha Tukose Msaada?
Ni Nani anawatesa Watanzania?
Hii kelele ya makinia tumeibiwa ni usanii mtupu! Madini hayana mchango kwenye uchumi mpana wa Watanzania.
Kwanza wao ndio walisaini hii mikataba...
Pili Makampuni ya madini wananunua vyakula na Nyama nje ya nchi...
---Sioni Juhudi za Serikali katika kuinua uchumi? Juhudi zipi sasa? Kilimo kimeachwa kife na wakulima wateseke
hakuna miundo mbinu ya Umwagiliaji
Viwanda vitakufa bila Kilimo imara
Nimekosoa kwa hoja....
VAT Ni kodi inayolipwa na consumer ambayo ndio hawa masikini
Sasa, ili nchi iendelee, inatakiwa kukuza Sekta za uzalishaji zinazogusa watu wengi (Agriculture and Tourism).
Bila Shaka Tanzania ni nchi masikini Kusini mwa Janga la Sahara, hata Kenya wana GDP kubwa kuliko Tanzania. Hivyo basi, tuwe wawazi kabisa, Tanzania bado inahitaji misaada.
Nini kimesababisha Tukose Msaada?
Ni Nani anawatesa Watanzania?
Hii kelele ya makinia tumeibiwa ni usanii mtupu! Madini hayana mchango kwenye uchumi mpana wa Watanzania.
Kwanza wao ndio walisaini hii mikataba...
Pili Makampuni ya madini wananunua vyakula na Nyama nje ya nchi...
---Sioni Juhudi za Serikali katika kuinua uchumi? Juhudi zipi sasa? Kilimo kimeachwa kife na wakulima wateseke
hakuna miundo mbinu ya Umwagiliaji
Viwanda vitakufa bila Kilimo imara
Nimekosoa kwa hoja....