Taifa la ajabu lenye hospitali ya ajabu

Taifa la ajabu lenye hospitali ya ajabu

Qanyengere

Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
60
Reaction score
1
Ni hospitali ya Muhimbili. Ewe Muhimbili ni kwanini unawaua waliokimbilia kwako wakiwa na full matarajio ya huduma bora na ya haraka licha ya ukubwa na umaarufufu wako? Ewe Muhimbili ni kwanini unaendelea kupokea wagonjwa mahututi ilhali huwashughulikii? Ewe Muhimbili ni kwanini basi usiwashauri wagonjwa kujitafutia sehemu nyingine ya miili yao kupatiwa huduma badala ya kuwasubirisha mauti? Bethlehemu kanza rafiki yangu alipatwa na ajali kiasi cha kuvunjika mguu wake, hiyo ni tarehe 02 - 10-2015 mkamtunza MOI wodi namba 18 sakafuni bila ya paracetamol wala kitu gani zaidi ya kuletewa chakula kutoka nyumbani kwao. Leo ni takriban wiki ya tatu mgonjwa hana hata tumaini la kushughulikiwa, je, huku ndiyo kutibiwa kweli? Kutoka hatoki, kutibiwa hakuna, je, la kufanya hamsemi sasa atasaidikaje? Ole wetu masikini tusioweza kwenda zetu apollo india tutaishia kuingia Muhimbili tusikopata matibabu. Pole kaka bethlehemu kanza najua si mapenzi yako lakini hii ndiyo Muhimbili yetu.
 
Yote haya yanatokea kutokuwa na uongozi madhubuti ya nchi chini ya ccm! Usishangae Dk Mkuu ni shemeji yake na nani kwa hyo hana hata ile hulka ya uongozi!

Hauwezi kuongelea huduma mbovu katka secta mbalimbali ndani ya taifa letu ukaiacha ccm pembeni!

Inasikitisha mgonjwa kuwa na wiki tatu bila kuhudumiwa na hii inawatokea watz wengi wa hali ya chini

Tubadilike! Tubadilishe ccm! Tusiwe watu wa kuburuzwa
 
MOI siyo Muhimbili wewe

ni Muhimbili hio mkuu ie Muhimbili Orthopaedic Institute(MOI) ila c part ya Hospital ya Taifa Muhimbili ie MNH..so mtoa mada yupo sahihi kuita muhimbili sema watu mmezoea kuwa ukisikia Muhimbili basi kichwani inaclick MNH n not MOI
 
Very sad, vaeni ujasiri mchukueni mumpeleke hospitali nyingine whether wanataka au hawataki msimletee madhara zaidi mgonjwa
 
ni Muhimbili hio mkuu ie Muhimbili Orthopaedic Institute(MOI) ila c part ya Hospital ya Taifa Muhimbili ie MNH..so mtoa mada yupo sahihi kuita muhimbili sema watu mmezoea kuwa ukisikia Muhimbili basi kichwani inaclick MNH n not MOI

Effective communication ni muhimu. Sasa huyu labda anajiuliza mwenyewe hivyo na majibu ajijibu tu vinginevyo kama anaongea na watu be crystal clear
 
??? Umekosea

Wabongo bwana utawajua tu kwa ujuaji. Huwezi kulinganisha au kutofautisha vitu viwili huku kimoja umekiandika kifupi na kingine umekiandika kirefu. Angeandika consistently MOI MOI MOI na siyo baadae unaandika Muhimbili. Wewe unadhani sisi wasomaji si tutazijumuisha zote? Kasomeni the principles of the basic mass communication in developing countries.
 
Wabongo bwana utawajua tu kwa ujuaji. Huwezi kulinganisha au kutofautisha vitu viwili huku kimoja umekiandika kifupi na kingine umekiandika kirefu. Angeandika consistently MOI MOI MOI na siyo baadae unaandika Muhimbili. Wewe unadhani sisi wasomaji si tutazijumuisha zote? Kasomeni the principles of the basic mass communication in developing countries.
MNH na MOI haziwezi kutenganishwa kwa huduma hizi.
 
Sasa nimepata picha mwezi wa 8 kati kati mtoto wa bosi wangu raia wa nje alivunjika mguu,jamaa akuiwaza kcmc pale mosh ilokuwa karibu nae wala hakuifikiria moi alichoma mafuta hadi kwa uhuru,akarud mtoto ana magongo,wiki ilopita wamerud toka nairoib dogo anatembea kama awali.MSIPOTAKA MABADILIKO MWAKA HUU ,MUHIMBILI NA HOSPITAL MBAL MBAL TZ ZITABAK KUWA KAMA ZAHANATI
 
Hivi mguu uliovunjika ukikkaa wiki tatu bila matibabu unakuwa kwenye hali gani?
 
Maisha bora kwa kila mtanzania ndiyo hayo. Ichagueni CCM tena tupate maisha bora squired.
 
Halaf NGESEWA wanakimbilia kujenga barabara na mabasi yaendayo kasi. Maghorofa marefu marefu. Ya nn haya yote na afya za watu zipo rehan. Tukiwatoa madarakan niquwaphirah 2 mmoja mmoja hadharan.
 
Halaf NGESEWA wanakimbilia kujenga barabara na mabasi yaendayo kasi. Maghorofa marefu marefu. Ya nn haya yote na afya za watu zipo rehan. Tukiwatoa madarakan niquwaphirah 2 mmoja mmoja hadharan. WANA LAANA YA KURITHISHANA.
 
Wanasema 'if you keep doing what you are doing, you'll get what you are getting'

Mnalalamika sana, halafu hamtaki kufanya mabadiliko, mnalialia hapa halafu mnakubali maneno mepesi mepesi ya Serikali, mnategemea nini?
 
unashangaa hilo wakati yameshazoeleka hayo.watz tukapimwe akiri kwanza maana hatuwez kuwa wavumilivu hivi pamoja na shida zote zinazoletwa na maficiem.
 
Ndio Maana wao wanatibiwa nje......
Maana madawa hakuna vifaa shida huduma matatizo


Kidumu chama cha mapinduzi
 
Back
Top Bottom