CHUMA2007CHAPUA
Member
- Jul 11, 2015
- 25
- 4
Wapendwa nimeisikia dizain ya wizi mpya. Jamaa wanakufuata mpaka utapo paki ukipaki wanavizia nakuondoa plate number yako. Ukirudi unaingia kwenyegari unaanza kuendesha wanakungojea mpaka ukae pazuri wanaku overtake,dirishani wanakuonyesha plate number yako yani kama imedondoka. Ukisimama umekwisha. gari, maisha hauna tena so ikikutokea fikiria, kusimamisha gari kunaweza kua mwisho wa maisha yako.Mungu awalinde wapendwa. Mfahamishe na mwingine.