Tahadhari

Tahadhari

Joined
Jul 11, 2015
Posts
25
Reaction score
4
Wapendwa nimeisikia dizain ya wizi mpya. Jamaa wanakufuata mpaka utapo paki ukipaki wanavizia nakuondoa plate number yako. Ukirudi unaingia kwenyegari unaanza kuendesha wanakungojea mpaka ukae pazuri wanaku overtake,dirishani wanakuonyesha plate number yako yani kama imedondoka. Ukisimama umekwisha. gari, maisha hauna tena so ikikutokea fikiria, kusimamisha gari kunaweza kua mwisho wa maisha yako.Mungu awalinde wapendwa. Mfahamishe na mwingine.
 
cc Wenye magari!

Maana sisi wenye baiskel hatuna plate namba
 
Hahaaa, kweli mjini kuna mambo, au hata vijijini ipo hii???
 
Back
Top Bottom