TAHADHARI: zeutamu imerudi tena.

M-bongotz

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
1,736
Reaction score
411
Ile blog tata ya zeutamu imerejea upya, ni vyema waungwana tukachukua tahadhari ya mienendo yetu kabla hatujajikuta tunaumbuliwa na hawa wanaojiita ni mtambo wa kurekebisha tabia.
 
Baba wa JF alishakataza tusiongelee mambo ya utamu humu..mboni hamsikii nyie?
 
Ile blog tata ya zeutamu imerejea upya, ni vyema waungwana tukachukua tahadhari ya mienendo yetu kabla hatujajikuta tunaumbuliwa na hawa wanaojiita ni mtambo wa kurekebisha tabia.

Mkuu acha waje ili tabia zetu zirekebike!
 
hii ilikuwa inawaumbua wazinzi wote mpaka na huyu nanihii wenu huyu.......!
 
walikuwa wanarekebisha au wanachafua watu ili hali watu wana bifu nao
 
Ila ilikuwa poa, kwanini ufane mambo ya ajabu kwa kuonekana km hutaki kuonekana??? ina maana km umepigwa picha ulihitaji kuonekana unayoyafanya, ze utamu irudi tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…