1. Dunia Haina mfalme wa milele, Kila Kitu au jambo ni kwa muda tu.
2.Usiishi kwa mashindano ishi Maisha Yako
3. Mali au kitu unachomiliki Kuna watu walikua nacho, kabla yako.
4. Unapokua na Furaha sana/ Hasira sana unatakiwa kua makini maana unaweza fanya maamuzi yatakayo gharimu Maisha yako.
5.