Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wataalamu wa IT wana kamtindo fulani ka kunyaka watu wanaowatafuta kwa kutumia 'links' ili ujinge halafu wakudukue vizuri ukamatike kama samaki...
Hasa hizi tofauti za kisiasa na kimtazamo zimekuwa zikitafusiliwa kama sumu kwa taifa ama kikundi fulani cha watu wenye interests zao.
Kwahiyo ndugu, epuka sana kujoin kwenye links unazotumiwa privately, hizo ni mtego , kuna watu wanakuwinda wakudake vizuri kupitia taarifa zako utakazoziingiza humo ikiwa ni pamoja na majina yako halisi na mawasiliano yako.
Wengi saba washadakwa.
Stay tuned guys...
Hasa hizi tofauti za kisiasa na kimtazamo zimekuwa zikitafusiliwa kama sumu kwa taifa ama kikundi fulani cha watu wenye interests zao.
Kwahiyo ndugu, epuka sana kujoin kwenye links unazotumiwa privately, hizo ni mtego , kuna watu wanakuwinda wakudake vizuri kupitia taarifa zako utakazoziingiza humo ikiwa ni pamoja na majina yako halisi na mawasiliano yako.
Wengi saba washadakwa.
Stay tuned guys...