Tahadhari kwa Zitto Kabwe

mnashangaza sana nyie mijusi. zitto siameshaondoka chadema? hizi porojo zote zanini tena? fanyeni yenu muacheni na zitto afanye yake.

Nani anamfuatilia mwenzake kama siyo wafuasi wa zzk na act kuendelea kuiandama cdm utadhani cdm ndio chama tawala?Hii inajionyesha kuwa act haina lengo la kuing'oa ccm madarakani bali ni kudhoofisha upinzani ili ccm iendelee kutawala milele kwa kuhujumu matumaini ya watanzania
 
Acheni uoga hamna safari isiyokua na changamoto
 
Mashaka yangu Act ni hiyo nyota mliyoweka kwenye kadi zenu na kwenye bendera!hiyo ni nembo na utambulisho wa dini ya kiislamu.Nashauri mbadili hyo nyota ondoeni mtapata wengi
 

Perfect message to someone who is ready to understand..
 

iko hivi ,kabla ya hayo kutokea tayari walishafikishana kwa msajiri
dalili za mvua ni mawingu

zito ni mtu mwenye dharau kubwa anapofanikiwa!
zito alikuwa na watu wengi cdm ambao leo hii angetoka nao lakini aliwatelekeza baada ya kupata fedha huko ikulu.
akaenda kujificha ujeruman na kuishi na wanawake wa ujeruman
Zito alishatofautiana na Kafulila kwa sababu hizo hizo

zito ni mwizi wa mali ya umma!!!
Isue ya escrow ndo inaweka bayana tofauti ya Kafulila na Zito
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...
kumbe ACT waobwanapambana na chadema sio Ccm chama tawala.
kwa akilibhizi za abunuasi nakwambia ACT inakufa baada ya uchaguzi mkuu,na kama itapata mbunge basi ni Kigoma tu.
hao Act hawafiki mbaki, watavumaa lakini mwisho wa siku watachuja tu.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...

Kwahiyo hiki chama kimeanzishwa ili kipambane na cdm badala ya chama tawala. Ningeamin kwamba ni chama cha kizalendo iwapo kinapambana na ccm
 
Nomile

Walau nimemwona Mungu akiongea na mja wake. Ujumbe sahihi kwa wakati sahihi. Bila shaka Mh Zitto atazingatia haya. Itoshe kumtakia kila la kheri kwenye safari hii mpya aliyoanzisha.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...

tishio kwa chadema, kwani wanapambana na chadema, au serikali iliyo madarakani? au kimeanzishwa kupambana na upinzani?
 
kujenga chama cha siasa ni kazi kubwa sana hasa kama waanzilishi wake wataweka masilahi yao mbele na kujenga himaya zao ndani ya chama hivyo kuzorotesha ukuaji wa taasisi inayoweza kudumu na kupambana katika mikikimikiki ya kisiasa bila kulegalega au hata kufa.
chama chochote cha siasa kilichosajiliwa kwa msajili kwa sasa ni mpinzani wa ccm hivyo jukumu kubwa lililo mbele yake ni kupambana na ccm na siyo CDM wala CUF kwa sababu hawa wote lengo lao ni moja la kuondoa udhalimu na upuuzi wa CCM sasa kama ACT wamesajiliwa kwenda kubomoa vyama vya upinzani basi chama hiki kitakuwa kinaongozwa na Mazezeta na wahuni kwa sababu huwezi kuishinda CCM kwa kubomoa wapinzani wenzio ningewaona wa maana sana ACT kama wangekuja ku supplement mapungufu ya wapinzani wenzao na kuongeza nguvu ili kuiondoa CCM madarakani lakini kwa sasa ni walewale tu wanasiasa tumbo
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, hiki chama kitakuja kuwa tishio kwa Chadema, wait and see...ZZK ana wafadhili wengi ndani na nje ya nchi...wewe waache tu hawa kina Mtei na Mbowe waendeleze ukabila, udini na ukanda ktk hiyo NGO yao!...

Duhh!! Kumbe ACT imeanzishwa ili iwe tishio kwa CHADEMA naona mnaamua kuweka wazi dhamira ya kuanzishwa hiki chama ila ni vema ukatambua CHADEMA imejijenga ndani ya mioyo ya watu na wengi wa wanachama na wapenzi wa CHADEMA wanapenda chama na sio mtu au watu.
 
Pesa anapata nyingi kutokea CCM.Kwa sababu ACT ni Tawi la CCM
 
Kumbe zitto mtumkubwa ham et maana twitter zt,fb zt,jf zt, jamani twendeni na mengine
 
Hakuna haja ya mh zitto kupambana na CHADEMA japokuwa naelewa hawezi fanya hivyo kwakuwa si style yake. Tunachotarajia ni yeye kama mwenyewe alivyoahidi apambane kuwakomboa maskini. Alisha anza kazi hiyo na jukumu hilo zito lakini ni muda wa yeye kukaza buti zaidi. CHAMA cha kilaghai na matukio huwa kitapotea chenyewe matukio yakiwaishia.
 
Tuli dawa ikuingie, kumbe ukweli unauma siyo !!? na bado dose inaendelea.
mtajifanya wenyewe kuwa washauri wa zitto. lakini tunajua inawauma sana ndo maana zitto hawaishi kwenye hizo nazi zenu juu ya shingo. mnaonaje sasa mkaendelea kumsifia godless lema-mbowe-slaa-tobo-mbuga? maana zitto sio saizi yenu. au mnafikiri zitto ni lema au sugu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…