py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Jana usiku ulikuwa mchungu kwa jamaa mmoja aliyekuwa katika chumba cha kuchezeshea kamari "Betting"eneo la Magomeni kagera.
Akiwa anafuatilia mpambano kati ya Sevilla vs Real Madrid aliweka rehani pikipiki yake na pesa taslim 400,000 kuwadhamini Real Madrid kwamba watapata goli kuanzia 85+,kilichotokea ni mshambuliaji wa Sevilla aliyejiunga wiki iliyopita kutoka inter Milan kushindilia msumari kwa mzungusho hatari au unaweza kuita ndizi na kumuacha kipa wa Madrid Keylor Navas asiwe na cha kufanya na kuzima ndoto ya jamaa huyo
Jamaa huyo kwa mshangao na pressure alitoa sauti moja ya mshangao na kisha kuanguka chini " kuzimia" ..watu walimpa first aid kwa kumpepea nk nk
1.Wacheza betting acheni kukariri unamuua Sevilla Sanchez Pizjuan tena muda ambao yeye ndio anashambulia
2.Kaa mbali na betting kama wewe huwezi kuhimili pressure
Mwisho betting haifai ,faida kiduchu na hasara kubwa
Akiwa anafuatilia mpambano kati ya Sevilla vs Real Madrid aliweka rehani pikipiki yake na pesa taslim 400,000 kuwadhamini Real Madrid kwamba watapata goli kuanzia 85+,kilichotokea ni mshambuliaji wa Sevilla aliyejiunga wiki iliyopita kutoka inter Milan kushindilia msumari kwa mzungusho hatari au unaweza kuita ndizi na kumuacha kipa wa Madrid Keylor Navas asiwe na cha kufanya na kuzima ndoto ya jamaa huyo
Jamaa huyo kwa mshangao na pressure alitoa sauti moja ya mshangao na kisha kuanguka chini " kuzimia" ..watu walimpa first aid kwa kumpepea nk nk
1.Wacheza betting acheni kukariri unamuua Sevilla Sanchez Pizjuan tena muda ambao yeye ndio anashambulia
2.Kaa mbali na betting kama wewe huwezi kuhimili pressure
Mwisho betting haifai ,faida kiduchu na hasara kubwa