Tahadhari kuhusu kubadili course ukifika chuo...

Tahadhari kuhusu kubadili course ukifika chuo...

SODOKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,656
Reaction score
724
ndugu zangu najua kuna mliokosa first round ya TCU ,,wengi wenu kwa sasa mnajaza course yoyote ili mradi upate chuo eti ukifika utabadili course....

natoa angalizo hii iliwahi kunikuta na mimi ni mmoja kati ya wahanga niliochaguliwa first round mwaka 2011 nilipofika chuoni nilitaka kubadili lakini uongozi wa chuo uligoma....kuna vyuo kama Mhimbili,,UDSM,,SUA ,,udom ubadilishaji wa course ni mgumu sana maranyingi unategemea mtu ahame course moja kwenda nyingine yaani EXCHANGE...(double coincidence ) kama barter trade ..wewe unataka mihogo una karanga...kwaio tafuta mwenye mihogo ili umpe karanga...ila sijajua kwa vyuo vingine lakin kwa tahadhari hakikisha unajaza course unayoipenda hata kama huipendi jiandae kisaikolojia kuipenda vinginevyo nakushauri usubiri utajaza mwakani,,elimu haina mwisho
 
ndugu zangu najua kuna mliokosa first round ya TCU ,,wengi wenu kwa sasa mnajaza course yoyote ili mradi upate chuo eti ukifika utabadili course....

natoa angalizo hii iliwahi kunikuta na mimi ni mmoja kati ya wahanga niliochaguliwa first round mwaka 2011 nilipofika chuoni nilitaka kubadili lakini uongozi wa chuo uligoma....kuna vyuo kama Mhimbili,,UDSM,,SUA ,,udom ubadilishaji wa course ni mgumu sana maranyingi unategemea mtu ahame course moja kwenda nyingine yaani EXCHANGE...(double coincidence ) kama barter trade ..wewe unataka mihogo una karanga...kwaio tafuta mwenye mihogo ili umpe karanga...ila sijajua kwa vyuo vingine lakin kwa tahadhari hakikisha unajaza course unayoipenda hata kama huipendi jiandae kisaikolojia kuipenda vinginevyo nakushauri usubiri utajaza mwakani,,elimu haina mwisho
hivi computer science imekaaje kwenye soko la ajira waungwana
 
Uyo anayesota hamna ki2 practically.....kozi yoyote ya computer ukiwa vizuri huwezi kukosa cha kufanya labda uwe fa....la!!
kwa dunia ya leo kozi yoyote unaweza sota tu!!! Cha msingi na cha sec ni kuwa wabunifu wa mambo mbalimbali. Tusiwe kama watu Fulani walikuwa wakisemezana " ni bora kuzaliwa mbwa marekani kuliko kuzaliwa mtu Africa" Tunapaswa kujifunza kuna watu wapo Afrika na wametoboa wakiwaacha wengine wakishikilia mesali.
 
hivi computer science imekaaje kwenye soko la ajira waungwana
Computer science haina issue kwasababu waajiri wengi huwa wanawachukua wanafunzi wa Certificates na Diploma za hizi taasisi ndogo zinazofunza kwa practical zaidi na pia wanafanya Certified Examinations zinazotambulika duniani.

Mfano:-

ICDL
A+
N+
CISCO networking
Databases etc.

Labda usome software engineering uje kuwa software developer ujiajiri.
 
ndugu zangu najua kuna mliokosa first round ya TCU ,,wengi wenu kwa sasa mnajaza course yoyote ili mradi upate chuo eti ukifika utabadili course....

natoa angalizo hii iliwahi kunikuta na mimi ni mmoja kati ya wahanga niliochaguliwa first round mwaka 2011 nilipofika chuoni nilitaka kubadili lakini uongozi wa chuo uligoma....kuna vyuo kama Mhimbili,,UDSM,,SUA ,,udom ubadilishaji wa course ni mgumu sana maranyingi unategemea mtu ahame course moja kwenda nyingine yaani EXCHANGE...(double coincidence ) kama barter trade ..wewe unataka mihogo una karanga...kwaio tafuta mwenye mihogo ili umpe karanga...ila sijajua kwa vyuo vingine lakin kwa tahadhari hakikisha unajaza course unayoipenda hata kama huipendi jiandae kisaikolojia kuipenda vinginevyo nakushauri usubiri utajaza mwakani,,elimu haina mwisho
ni kweli mimi niliomba kubadili kozi nikiwa ndani ya chuo kimojawapo, kiukweli niliteseka saana yaani kila unapogusa unaambiwa no... basi ilinibidi nikatafute msaada TCU, kufika walinipokea na wakaniambia changing of course ni within the University so wao ndio wataleta taarifa Tcu.. basi ilishindikana sasa sijui kwasasa huenda mkasikilizwa.
 
hivi computer science imekaaje kwenye soko la ajira waungwana
Ni kozi nzuri. Ina uwanja mpana. Soma kwa malengo na kitu unachokipenda. Kama unasoma ili ufaulu mtihani, hii kozi sio mahala pake na wala usitegemee kutoka. Sijatihidi kujifunza kwa bidii haswa kwenye "programming" kwa sababu inakupa upeo wa kufikiri na mengine utaona rahisi.Asikudanganye mtu kozi kwamba utasota miaka kumi au unafikiria ajira. Utakwenda na maji. Kukariri pia huku sio mahala pake.
 
na je vipi kuhusu course ya bachelor of science in environmental studies. soko la ajira lipoje hapA???
 
kwa dunia ya leo kozi yoyote unaweza sota tu!!! Cha msingi na cha sec ni kuwa wabunifu wa mambo mbalimbali. Tusiwe kama watu Fulani walikuwa wakisemezana " ni bora kuzaliwa mbwa marekani kuliko kuzaliwa mtu Africa" Tunapaswa kujifunza kuna watu wapo Afrika na wametoboa wakiwaacha wengine wakishikilia mesali.

Sio kwa kozi za afya.Muda wa kusota bado bado
 
Back
Top Bottom