robert sendabishaka JF-Expert Member Joined Dec 11, 2015 Posts 3,140 Reaction score 3,333 Nov 15, 2017 #4 kwamba akinaswa anakeketwa 'nanihii' au sijaelewa kibonzo. nchi za wenzetu kuna shida. utawala wa sheria haupo ni papo kwa papo
kwamba akinaswa anakeketwa 'nanihii' au sijaelewa kibonzo. nchi za wenzetu kuna shida. utawala wa sheria haupo ni papo kwa papo
nygax JF-Expert Member Joined Jun 4, 2017 Posts 1,367 Reaction score 865 Nov 15, 2017 #5 ukikamatwa unakojoa unakatwa korodani zote!
Jagood JF-Expert Member Joined Aug 15, 2016 Posts 2,140 Reaction score 2,388 Nov 15, 2017 Thread starter #6 nygax said: ukikamatwa unakojoa unakatwa korodani zote! Click to expand... Vipi kuhusu wanawake wao ruksa?
nygax said: ukikamatwa unakojoa unakatwa korodani zote! Click to expand... Vipi kuhusu wanawake wao ruksa?
Totos Boss JF-Expert Member Joined Dec 30, 2012 Posts 5,456 Reaction score 1,569 Nov 16, 2017 #7 Wapi hiyo??
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,200 Reaction score 99,934 Nov 16, 2017 #8 Jagood said: Click to expand... Ndio alama tunazoambiwa tuzifahamu tukikamatwa na Traffic??