KUWEDA
Member
- Mar 5, 2013
- 41
- 6
Tafsri halisi ya neno MAHARI ni ipi?;
Kama ni zawadi kwa mzazi aliyekuzalia mke,mbona jamii zetu zinakupangia kiasi cha kutoa?..na 2juavyo wabongo zawadi ni zawadi hata neno AHSANTE linatosha kukupatia mke...Wengine wakikimbiwa na wake zao wanaenda kudai mahari yao ukweni.
Then,kwann wanaume hawatolewi mahari na mke ili kushukuru kupatiwa mume?..NB;Ukipangiwa mahari maybe sh 50,ukawa na sh 49 unakosa mke..MI CJUI HASWA NN HII K2 MAHARI?
Kama ni zawadi kwa mzazi aliyekuzalia mke,mbona jamii zetu zinakupangia kiasi cha kutoa?..na 2juavyo wabongo zawadi ni zawadi hata neno AHSANTE linatosha kukupatia mke...Wengine wakikimbiwa na wake zao wanaenda kudai mahari yao ukweni.
Then,kwann wanaume hawatolewi mahari na mke ili kushukuru kupatiwa mume?..NB;Ukipangiwa mahari maybe sh 50,ukawa na sh 49 unakosa mke..MI CJUI HASWA NN HII K2 MAHARI?