Tafsiri niliyoipata kwenye uchaguzi wa TLS

NKWENYE

Member
Feb 19, 2017
57
183
Baada ya uchaguzi wa TLS leo kuna kitu kimepita kwenye ubongo wangu.
Nimejaribu kuwaangalia watu walio waliopiga kura leo na namna mambo yalivyokuwa. Kwa uhakika kabisa watu wanaoipa kura CCM kwenye chaguzi mbalimbali ni wenye sifa zifuatazo

1: Wasiojua kusoma na kuandika
2: Wenye uwezo mdogo Sana wa kuchanganua mambo mbalimbali hasa yanayoihusu nchi..
3: Wanaonunuliwa kwa muda toka vyama vingine
4: Wenye maslahi ya moja kwa moja na CCM.

Leo hii ingekuwa katiba inasema wapiga kura wote wawe na Elimu kuanzia kidato cha nne, CCM ingekuwa madarakani kijeshi..
 
Kiukweli wanasheria wametuonyesha leo upeo wao ulivyo wa juu jinsi ya kupambanua mambo.
 
Baada ya uchaguzi wa TLS leo kuna kitu kimepita kwenye ubongo wangu.
Nimejaribu kuwaangalia watu walio waliopiga kura leo na namna mambo yalivyokuwa. Kwa uhakika kabisa watu wanaoipa kura CCM kwenye chaguzi mbalimbali ni wenye sifa zifuatazo

1: Wasiojua kusoma na kuandika
2: Wenye uwezo mdogo Sana wa kuchanganua mambo mbalimbali hasa yanayoihusu nchi..
3: Wanaonunuliwa kwa muda toka vyama vingine
4: Wenye maslahi ya moja kwa moja na CCM.

Leo hii ingekuwa katiba inasema wapiga kura wote wawe na Elimu kuanzia kidato cha nne, CCM ingekuwa madarakani kijeshi..
Kwa hiki ulichokiandika siku yale leo nadhani tangu mwaka uanze hili andiko ndio bora zaidi nakupatia like za kutosha.ngoja niagize na Serengeti baridi kwa furaha ya andiko hili
 
ITV kwa Sasa taarifa zake ni Relative waluachana kabisa na objectivity
Uzito na ukubwa WA habari unapewa na kupinwa na namna ambavyo magogoni waweza kukunja USO. Hivyo wakiwa na habari zisizofurahisha magogoni haijalishi umuhimu wake kwa jamii zitapewa nafasi ndogo sana au zitanyimwa kabisa
 
Kwa hiki ulichokiandika siku yale leo nadhani tangu mwaka uanze hili andiko ndio bora zaidi nakupatia like za kutosha.ngoja niagize na Serengeti baridi kwa furaha ya andiko hili
Endelea kijidanganya,mda utafika akili timamu zitarejea ndiyo utajua ulivyopotea njia.
 
Baada ya uchaguzi wa TLS leo kuna kitu kimepita kwenye ubongo wangu.
Nimejaribu kuwaangalia watu walio waliopiga kura leo na namna mambo yalivyokuwa. Kwa uhakika kabisa watu wanaoipa kura CCM kwenye chaguzi mbalimbali ni wenye sifa zifuatazo

1: Wasiojua kusoma na kuandika
2: Wenye uwezo mdogo Sana wa kuchanganua mambo mbalimbali hasa yanayoihusu nchi..
3: Wanaonunuliwa kwa muda toka vyama vingine
4: Wenye maslahi ya moja kwa moja na CCM.

Leo hii ingekuwa katiba inasema wapiga kura wote wawe na Elimu kuanzia kidato cha nne, CCM ingekuwa madarakani kijeshi..
Mkuu naomba watake radhi watanzania kwa kuwadharau kisa sijui kaelimu kako. Kumbuka kila mtu anamaamuz yake kwani nini unawasemea watu wengine kusoma kwako mbele ya wengine ni upuuzi tu.
 
Baada ya uchaguzi wa TLS leo kuna kitu kimepita kwenye ubongo wangu.
Nimejaribu kuwaangalia watu walio waliopiga kura leo na namna mambo yalivyokuwa. Kwa uhakika kabisa watu wanaoipa kura CCM kwenye chaguzi mbalimbali ni wenye sifa zifuatazo

1: Wasiojua kusoma na kuandika
2: Wenye uwezo mdogo Sana wa kuchanganua mambo mbalimbali hasa yanayoihusu nchi..
3: Wanaonunuliwa kwa muda toka vyama vingine
4: Wenye maslahi ya moja kwa moja na CCM.

Leo hii ingekuwa katiba inasema wapiga kura wote wawe na Elimu kuanzia kidato cha nne, CCM ingekuwa madarakani kijeshi..
Upo sahihi kabisa.
 
Ukweli mtupu. Na wao wanajua kwamba Elimu ikienda mpaka vijijini CCM hawana chao
 
ITV kwa Sasa taarifa zake ni Relative waluachana kabisa na objectivity
Uzito na ukubwa WA habari unapewa na kupinwa na namna ambavyo magogoni waweza kukunja USO. Hivyo wakiwa na habari zisizofurahisha magogoni haijalishi umuhimu wake kwa jamii zitapewa nafasi ndogo sana au zitanyimwa kabisa
ITV, guardian ni vilio tu,haswa guardian mapato yameshuka watu wanapitiliza miezi bila salary Mzee Mengi nae kawaambia wajiendeshe hatoi ruzuku,sasa anaona bora aside na wakandamizaji (watawala) ili biashara isifungwe.
 
Back
Top Bottom