HB wa kigogo JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 2,489 Reaction score 6,251 Jun 17, 2019 #1 Wadada fungukeni, je kuna ukweli kwenye hili
Muzine JF-Expert Member Joined May 4, 2017 Posts 32,366 Reaction score 60,480 Jun 17, 2019 #2 Washaupost huu uzi
HB wa kigogo JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 2,489 Reaction score 6,251 Jun 17, 2019 Thread starter #3 Demiss said: Washaupost huu uzi Click to expand... Nimeona baada ya kupost
Inna JF-Expert Member Joined Jan 13, 2017 Posts 11,194 Reaction score 27,089 Jun 17, 2019 #4 Ndio ndio hatupendi
HB wa kigogo JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 2,489 Reaction score 6,251 Jun 17, 2019 Thread starter #5 Inna said: Ndio ndio hatupendi Click to expand... Kwa nini?
Ncherry1 JF-Expert Member Joined Jun 15, 2016 Posts 2,181 Reaction score 2,256 Jun 17, 2019 #6 Kabsaa six pack za nn Ukipata zako mtu mwenye sura personal na kitambi chake Burudan sio hao wapaka lipstick
Kabsaa six pack za nn Ukipata zako mtu mwenye sura personal na kitambi chake Burudan sio hao wapaka lipstick
Inna JF-Expert Member Joined Jan 13, 2017 Posts 11,194 Reaction score 27,089 Jun 17, 2019 #7 HB wa kigogo said: Kwa nini? Click to expand... Ujinga huo
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 21,944 Reaction score 43,358 Jun 17, 2019 #8 Wenyewe wanaita "personality "
HB wa kigogo JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 2,489 Reaction score 6,251 Jun 17, 2019 Thread starter #9 Ncherry1 said: Kabsaa six pack za nn Ukipata zako mtu mwenye sura personal na kitambi chake Burudan sio hao wapaka lipstick Click to expand... aisee
Ncherry1 said: Kabsaa six pack za nn Ukipata zako mtu mwenye sura personal na kitambi chake Burudan sio hao wapaka lipstick Click to expand... aisee
Drone Camera JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 14,121 Reaction score 14,032 Jun 17, 2019 #10 Kumbe
HB wa kigogo JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 2,489 Reaction score 6,251 Jun 17, 2019 Thread starter #11 mbalizi1 said: Wenyewe wanaita "personality " Click to expand... Haya mambo ya six-pack siku hizi ndio yameshika chat. Vijana kutwa nzima wanashinda kwenye vyuma
mbalizi1 said: Wenyewe wanaita "personality " Click to expand... Haya mambo ya six-pack siku hizi ndio yameshika chat. Vijana kutwa nzima wanashinda kwenye vyuma
feysher JF-Expert Member Joined Sep 6, 2016 Posts 2,656 Reaction score 2,774 Jun 17, 2019 #12 Badala ya kutafuta ela waache wavimbishe vifua wazee wanawapiku tu HB wa kigogo said: Haya mambo ya six-pack siku hizi ndio yameshika chat. Vijana kutwa nzima wanashinda kwenye vyuma Click to expand...
Badala ya kutafuta ela waache wavimbishe vifua wazee wanawapiku tu HB wa kigogo said: Haya mambo ya six-pack siku hizi ndio yameshika chat. Vijana kutwa nzima wanashinda kwenye vyuma Click to expand...
HB wa kigogo JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 2,489 Reaction score 6,251 Jun 17, 2019 Thread starter #13 feysher said: Badala ya kutafuta ela waache wavimbishe vifua wazee wanawapiku tu Click to expand... Ndio maana kila siku wanalizwa na wazee.
feysher said: Badala ya kutafuta ela waache wavimbishe vifua wazee wanawapiku tu Click to expand... Ndio maana kila siku wanalizwa na wazee.
feysher JF-Expert Member Joined Sep 6, 2016 Posts 2,656 Reaction score 2,774 Jun 17, 2019 #14 Afu wanakuja kulialia huku jf HB wa kigogo said: Ndio maana kila siku wanalizwa na wazee. Click to expand...
Afu wanakuja kulialia huku jf HB wa kigogo said: Ndio maana kila siku wanalizwa na wazee. Click to expand...
HB wa kigogo JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 2,489 Reaction score 6,251 Jun 17, 2019 Thread starter #15 feysher said: Afu wanakuja kulialia huku jf Click to expand... Mwonekano ni kitu cha ziada tu. Ndio maana unakuta jamaa kauzu ila anamiliki manzi mkali ile mbaya
feysher said: Afu wanakuja kulialia huku jf Click to expand... Mwonekano ni kitu cha ziada tu. Ndio maana unakuta jamaa kauzu ila anamiliki manzi mkali ile mbaya
feysher JF-Expert Member Joined Sep 6, 2016 Posts 2,656 Reaction score 2,774 Jun 17, 2019 #16 Same applies kwa Ke pia HB wa kigogo said: Mwonekano ni kitu cha ziada tu. Ndio maana unakuta jamaa kauzu ila anamiliki manzi mkali ile mbaya Click to expand...
Same applies kwa Ke pia HB wa kigogo said: Mwonekano ni kitu cha ziada tu. Ndio maana unakuta jamaa kauzu ila anamiliki manzi mkali ile mbaya Click to expand...
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 21,944 Reaction score 43,358 Jun 17, 2019 #17 HB wa kigogo said: Haya mambo ya six-pack siku hizi ndio yameshika chat. Vijana kutwa nzima wanashinda kwenye vyuma Click to expand... Wanahangaika tu haziwafikishi kwenye mafanikio ya maisha, wakaze kuzisaka noti tu
HB wa kigogo said: Haya mambo ya six-pack siku hizi ndio yameshika chat. Vijana kutwa nzima wanashinda kwenye vyuma Click to expand... Wanahangaika tu haziwafikishi kwenye mafanikio ya maisha, wakaze kuzisaka noti tu
T the big mayai JF-Expert Member Joined Aug 16, 2018 Posts 230 Reaction score 325 Jun 17, 2019 #18 Sisi wenye 'vidali' badala ya vifua leo tumetiwa moyo.
HB wa kigogo JF-Expert Member Joined Aug 24, 2017 Posts 2,489 Reaction score 6,251 Jun 17, 2019 Thread starter #19 mbalizi1 said: Wanahangaika tu haziwafikishi kwenye mafanikio ya maisha, wakaze kuzisaka noti tu Click to expand... Wamejijengea akili kwamba wanawake wanavutiwa na six-pack sawa sawa na upande wapili (ke) walivyo jijengea akili kwamba wanaume wanavutiwa na chura. Wanashindwa kutambua mahitaji yanatofautiana
mbalizi1 said: Wanahangaika tu haziwafikishi kwenye mafanikio ya maisha, wakaze kuzisaka noti tu Click to expand... Wamejijengea akili kwamba wanawake wanavutiwa na six-pack sawa sawa na upande wapili (ke) walivyo jijengea akili kwamba wanaume wanavutiwa na chura. Wanashindwa kutambua mahitaji yanatofautiana
Kunguru wa Manzese JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 12,729 Reaction score 18,206 Jun 19, 2019 #20 Sasa hizi six packs nazipeleka wapi daah ushakuwa ulemavuu kweny kifua changu hakuna jinsi.. yaani hawaelewek nini wanataka Hawa viumbe
Sasa hizi six packs nazipeleka wapi daah ushakuwa ulemavuu kweny kifua changu hakuna jinsi.. yaani hawaelewek nini wanataka Hawa viumbe