"Waafrika wengi tumepewa zawadi ya kufikiri, lakini tunaikabidhi kwa viongozi wa dini kama sadaka, kisha tunalalamika tunapopotezwa hata katika mambo yanayohitaji akili tu, si maombi ya kufunga."— Alloyce, P.R.
WACHAWI MNAANZA KUTOKA VICHAKANI.UMEELEWA MAANA NGUVU YA WA VIONGOZI WA DINI MBONA WAO WANATUMIA VIONGOZI WA DINI KUOMBA AMANI.
EMBU NENDA UKANYE PESA ZA WATU ALAFU KAJIFUNZE KULE GOMA ANACHOFANYA KJOSEPH KABILA.
Sio kila jambo linaweza kufikika kwa akili pekee; imani na maombi pia hutoa mwongozo, faraja, na hekima ambayo akili ya binadamu peke yake haiwezi kufikia.
WACHAWI MNAANZA KUTOKA VICHAKANI.UMEELEWA MAANA NGUVU YA WA VIONGOZI WA DINI MBONA WAO WANATUMIA VIONGOZI WA DINI KUOMBA AMANI.
EMBU NENDA UKANYE PESA ZA WATU ALAFU KAJIFUNZE KULE GOMA ANACHOFANYA KJOSEPH KABILA.
Sio kila jambo linaweza kufikika kwa akili pekee; imani na maombi pia hutoa mwongozo, faraja, na hekima ambayo akili ya binadamu peke yake haiwezi kufikia.
"Waafrika wengi tumepewa zawadi ya kufikiri, lakini tunaikabidhi kwa viongozi wa dini kama sadaka, kisha tunalalamika tunapopotezwa hata katika mambo yanayohitaji akili tu, si maombi ya kufunga."— Alloyce, P.R.
Hujaelewa bado, sijasema kuomba ni tatizo, hapo tatizo ni kuchukua akili yako na kuiweka kwa kiongozi wako wa dini alafu unakua kipofu wa akili na fikra.
Tanzania kutumia njia ya maombi ili kuamsha hisia za watu ni muhimu sana. Naelewa sana concern yako lakini watanzania navyowajua ni lazima utumie akili kuwavuta karibu.
Tanzania kutumia njia ya maombi ili kuamsha hisia za watu ni muhimu sana. Naelewa sana concern yako lakini watanzania navyowajua ni lazima utumie akili kuwavuta karibu.