kwan hvyo vidole anatiwa kwa dhumuni gan?Hapana
Amewaza vizuri sana
Kiuhalisia haiepndezi kabisa basi tu
Hata kama ww ni mwanaume sidhani kama unafurahia mkeo kutiwa vidole na mwanaume mwenzio ukawa comfortable
Hili ni tatizo kubwa sana,wakati vyoo vya Public vimetengwa,vya wanaume mbali na wanawake mbali.Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.
Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.
Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.
Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Mawazo ya kitalebaniUnampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.
Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.
Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.
Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Daktari ndio mtu pekee anayeweza kumvua nguo mkeo, na hela ukamlipa na asante ukatoa.Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.
Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.
Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.
Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Critical thinking 🤝Kama nakuelewa vile,
Polisi wakiume haruhusuwi kumpekua maungoni mtuhumiwa wa kike, iweje daktari wa kiume aruhusiwe kuona na kushika uchi wa mwanaume?
Zarau hizo sasaAnawasaidia avae tu kinga maana nguvu hakuna
Nilimpeleka mchepuko wangu kutoa mimba, kwa jinsi alivyokuwa analalamika nikahisi daktari anakula mzigo kwanza kulainisha njia.Mficha uchi hazai..!
Madokta wa kiume wanajali sana kuliko wa kike
Mimi nikienda hospital nikikuta dokta ni wa kike Nanuna...!
Mpaka pale siku utakapo ombwa mzigo au kushikwa shikwa.aka mwenzangu,,acha tu madaktari wa kiume wanizalishe kwanz wana care sana aseee
Inaweza kuwa ni kweli na alifurahia kabisa.Na kama ata ilishawahi kutokea unafikiri ataiweka bayana?
Wewe ni mbakaji.Ufungwe kabla haujaleta madhara...aaah! kwahyo huwa wanaangalia njia ipo sawa ama haipa sawa....? Aisee hii kazi nisingeliiweza maana ningelipata kesi.
Shida yako ni nini?Mwanaume kuangalia tupu ya kike?Maisha ya leo bado umevalisha ubongo wako hijab?Utalala sana.Inaweza kuwa ni kweli na alifurahia kabisa.
Kwa upande wangu mimi, ni BIG NO. Swala la kuzalisha Wanawake tungepaswa kusomesha wanawake wengi ukunga sekta hiyo ibaki chini ya wanawake, au wanawake kutibiana magonjwa ya wanawake kwani ina shindikana nini ?!
Mzungu kaweza tengeneza rocket inaenda mwezini au mars sembuse sisi kusomesha wakunga wanawake wakatibiane huko mahospitalini.
Ujinga mwingine ni kuendekeza tuu.
Saa 12 asubuhi nimesha amka mkuu. Labda wewe bado umelalaShida yako ni nini?Mwanaume kuangalia tupu ya kike?Maisha ya leo bado umevalisha ubongo wako hijab?Utalala sana.
Kabisa kiongoz lakin wapo watu wanalitazama hili in negative way kwa uelewa wao mdogo pasi na kuangalia madhara yatokanayo hili, narudia kusema yule si robot ni mwanadamu ana matamanio.Inaweza kuwa ni kweli na alifurahia kabisa.
Kwa upande wangu mimi, ni BIG NO. Swala la kuzalisha Wanawake tungepaswa kusomesha wanawake wengi ukunga sekta hiyo ibaki chini ya wanawake, au wanawake kutibiana magonjwa ya wanawake kwani ina shindikana nini ?!
Mzungu kaweza tengeneza rocket inaenda mwezini au mars sembuse sisi kusomesha wakunga wanawake wakatibiane huko mahospitalini.
Ujinga mwingine ni kuendekeza tuu.
Vema.Tumshukuru Maanani.🙏S
Saa 12 asubuhi nimesha amka mkuu. Labda wewe bado umelala