Tafakuri: Madaktari bingwa wa wanawake kuwa wanaume imekaaje?

Hapana
Amewaza vizuri sana
Kiuhalisia haiepndezi kabisa basi tu
Hata kama ww ni mwanaume sidhani kama unafurahia mkeo kutiwa vidole na mwanaume mwenzio ukawa comfortable
kwan hvyo vidole anatiwa kwa dhumuni gan?
Pia kwa kujua hicho kitu kinaweza jitokeza ndio maana wakaweka faragha baina ya mtoa huduma na mgonjwa na pia hiyo kazi ina miiko na maadili yake ukiona imevunjwa ruksa kushtaki
 
Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.

Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.

Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.

Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Hili ni tatizo kubwa sana,wakati vyoo vya Public vimetengwa,vya wanaume mbali na wanawake mbali.
 
Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.

Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.

Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.

Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Mawazo ya kitalebani
 
Kama nakuelewa vile,

Polisi wakiume haruhusuwi kumpekua maungoni mtuhumiwa wa kike, iweje daktari wa kiume aruhusiwe kuona na kushika uchi wa mwanamke?
 
Unampeleka mkeo mjamzimto hospitali ama zahanati unakutana na doctor wa kiume ndo ampime na ikibidi mpaka kumzalisha anamzalisha.

Yaani inakuwaje kuwaje anafunua sehemu ile na kuangalia kama papo sawa ama hapapo sawa. Hivi imeshindikana nini kuweka ma specialist watakaodeal wakike kwa wakike na wa kiume hivyo hivyo.

Hili linaweza kushawishi hata wakataka kuonja onja hawa. Kuna kijiji fulani nilienda zahanati ni doctor wa kiume ndo anadeal na uzazi mwanzo mwisho.

Hili kwako linakupa tafakuri gani?
Daktari ndio mtu pekee anayeweza kumvua nguo mkeo, na hela ukamlipa na asante ukatoa.
 
Na kama ata ilishawahi kutokea unafikiri ataiweka bayana?
Inaweza kuwa ni kweli na alifurahia kabisa.
Kwa upande wangu mimi, ni BIG NO. Swala la kuzalisha Wanawake tungepaswa kusomesha wanawake wengi ukunga sekta hiyo ibaki chini ya wanawake, au wanawake kutibiana magonjwa ya wanawake kwani ina shindikana nini ?!

Mzungu kaweza tengeneza rocket inaenda mwezini au mars sembuse sisi kusomesha wakunga wanawake wakatibiane huko mahospitalini.

Ujinga mwingine ni kuendekeza tuu.
 
Inaweza kuwa ni kweli na alifurahia kabisa.
Kwa upande wangu mimi, ni BIG NO. Swala la kuzalisha Wanawake tungepaswa kusomesha wanawake wengi ukunga sekta hiyo ibaki chini ya wanawake, au wanawake kutibiana magonjwa ya wanawake kwani ina shindikana nini ?!

Mzungu kaweza tengeneza rocket inaenda mwezini au mars sembuse sisi kusomesha wakunga wanawake wakatibiane huko mahospitalini.

Ujinga mwingine ni kuendekeza tuu.
Shida yako ni nini?Mwanaume kuangalia tupu ya kike?Maisha ya leo bado umevalisha ubongo wako hijab?Utalala sana.
 
Inaweza kuwa ni kweli na alifurahia kabisa.
Kwa upande wangu mimi, ni BIG NO. Swala la kuzalisha Wanawake tungepaswa kusomesha wanawake wengi ukunga sekta hiyo ibaki chini ya wanawake, au wanawake kutibiana magonjwa ya wanawake kwani ina shindikana nini ?!

Mzungu kaweza tengeneza rocket inaenda mwezini au mars sembuse sisi kusomesha wakunga wanawake wakatibiane huko mahospitalini.

Ujinga mwingine ni kuendekeza tuu.
Kabisa kiongoz lakin wapo watu wanalitazama hili in negative way kwa uelewa wao mdogo pasi na kuangalia madhara yatokanayo hili, narudia kusema yule si robot ni mwanadamu ana matamanio.
 
Back
Top Bottom