Kuishi huku unawaza utakufa lini ni kujenga woga usio na msingi.
Kifo kipo constant,na haituongezei chochote kuishi ukiwaza utakufaje!
Otherwise,hoja yako ni nzuri,lakini yenye matege ya kimantiki ndani yake.
Umetumia neno "Inawezekana kuna hukumu" hivyo kudhihirisha huna hakika na uliyo andika hapa.
Kwa maneno mengine,unajaribu kutushawishi tuishi kwa hofu zisizo na uhakika wowote.