mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
Kwa mujibu wa vyombo vya habar vya leo mwanasport limeandika Yanga imeandaa milioni 100 kuiuwa al ahly while wapinzani hap wameandaa bilion 1.3 kwa ajil ya mechi hiyo hii ni kwa mujibu wa Bingwa na Mtanzani.Tafakal na toa maon yako kuelekea hiyo game.