Nina Simu Yangu ni Samsung GT S55701 Shida ni Kuwa Ina External Memory ya 8GB na Iko Tupu Wakati Internal Imejaa Sasa Ninapojaribu Kuhamishia Kwenye External App Zinagoma Nifanyeje?
Nina Simu Yangu ni Samsung GT S55701 Shida ni Kuwa Ina External Memory ya 8GB na Iko Tupu Wakati Internal Imejaa Sasa Ninapojaribu Kuhamishia Kwenye External App Zinagoma Nifanyeje?
Rooting inafanyika kwa njia 2 . Kuna njia ya kutumia android app na nyingine ni kwa kutumia computer. Kwa computer unatumia program kama vile KINGO APP
Rooting inafanyika kwa njia 2 . Kuna njia ya kutumia android app na nyingine ni kwa kutumia computer. Kwa computer unatumia program kama vile KINGO APP