Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,771
- 5,268
Kwa kweli hii habari na picha vimenigusa. Ni habari ya kusikitisha sana. Tafadhali mtu yoyote mwenye huruma anayeweza chondechonde tumsaidie huyu mtoto. Kuna namba ya simu, watu wanaweza kutuma misaada kutumia simu. Binafsi nitafanya hivyo.
MICHUZI BLOG: MSAADA WA HARAKA UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO ADOLOTEA NJAVIGE
MICHUZI BLOG: MSAADA WA HARAKA UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO ADOLOTEA NJAVIGE