Elerai
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 474
- 139
Habar za leo ndugu zangu wa jf. Ninahitaji kuappy vacancy kweny zoom kuna nafasi nafiti sasa kasheshe hawajaweka direct wanasema "click to email" hapo ndo kazi inakuw ngumu nikiclick najiandikish then inarudi kulekule . kama kuna mtu anaweza kunisaidia ktk hli na anajua namna kuapply direct in zoom please i need help be blessed