Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,939
- 10,822
Siku za nyuma kidgo, niliwai kuonesha upotevu mkubwa wa fedha za umma,kutoka benki inayojitambulisha km benk ya wakulima dhidi ya mikopo waliyo itoa pale MKURA scheme!
Niliwambia waz kuwa fedha hizo hazitirud kwa wakat, na pengine walio zitoa hawataweza kuzipata kbsaa!leo hii nadhani niliyyasema yameanza kutimia.
Maana niliwambia kuwa kuna wananchi pale walipata mkopo ila hawana na hawajawai kuws na mashamba popote pale,nilisema msipo kuwa makini mtajikuta mnarudia makosa mliyoyafanya mkiwa watendaji wa TIB.
Nilienda mbar zaidi nikawataka muache kukaaa ofisini njoooni shamba na mjue project mnazozfanya sio tu mnakaaa ofisin tu muda wte.
Niliwambia hizo pesa hamtoweza kuzipata tena mkanitusi sanaaaa sasa leo nmeshangaaa heti mnamtuma kijana wenu afatilie madeni ndo kwanza anawaita wazee alio kula nao mgawo na kuanza kula nao vyombo na ss wakulim Tunaona.
Niwambie tu ili mfike kuweni wakweli ila mkienda km mnavofanya benki hiyo inaitaji mabadiliko ya mental and phisically,kama kilichofanywa TIB hakina budi kufanyika tena hapo TADB
Naskitika wakat mnatoa mikopo hamkuwahusisha mkuu wa wilaya leo hiii kimebuma heti ndo mnaenda kumwagia bomu ilo lenu mkuu wa wilaya huskubar kupokea bomu ilo.
Niliwambia waz kuwa fedha hizo hazitirud kwa wakat, na pengine walio zitoa hawataweza kuzipata kbsaa!leo hii nadhani niliyyasema yameanza kutimia.
Maana niliwambia kuwa kuna wananchi pale walipata mkopo ila hawana na hawajawai kuws na mashamba popote pale,nilisema msipo kuwa makini mtajikuta mnarudia makosa mliyoyafanya mkiwa watendaji wa TIB.
Nilienda mbar zaidi nikawataka muache kukaaa ofisini njoooni shamba na mjue project mnazozfanya sio tu mnakaaa ofisin tu muda wte.
Niliwambia hizo pesa hamtoweza kuzipata tena mkanitusi sanaaaa sasa leo nmeshangaaa heti mnamtuma kijana wenu afatilie madeni ndo kwanza anawaita wazee alio kula nao mgawo na kuanza kula nao vyombo na ss wakulim Tunaona.
Niwambie tu ili mfike kuweni wakweli ila mkienda km mnavofanya benki hiyo inaitaji mabadiliko ya mental and phisically,kama kilichofanywa TIB hakina budi kufanyika tena hapo TADB
Naskitika wakat mnatoa mikopo hamkuwahusisha mkuu wa wilaya leo hiii kimebuma heti ndo mnaenda kumwagia bomu ilo lenu mkuu wa wilaya huskubar kupokea bomu ilo.