ONG'WASAMBA-Busega
Member
- May 20, 2014
- 31
- 8
Wananchi wa Tabora njiani wamezingira kituo cha kutangazia matokeo huku wakimtaka msimamizi kumtangaza haraka mshindi ambaye wanadai ni bwana Peter Mkufya kupitia CUF Kashinda July wakiogopa kuwa CCM wanataka kuhujumu matokeo baada ya mgombea wa CCM kudaiwa kugomea matokeo, ndipo jeshi la polisi liliamua kuwatawanya ili kuepusha fujo hizo, sasa hizi mitaa ya Kazima hapakaliki milio ya mabomu imetawala.