Tabia za Watanga

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
[SIZE=+2]Tabia za Watanga[/SIZE]
Leo nachukua Tanga, kama fumbo jamiini,
Kuwaeleza Watanga, TABIA zao nchinini,

Tanga watu wa kuringa, hasa kwa kujua dini,

Ukitaka uishi nao, jifunye wewe mjinga.


Tanga bwana kwa mamwinyi, karahaatake nani,

Tanga si kwa bwana Mwinyi, kwangu mwana wa HASANI,

Tanga utaminywa minyi, kwa fani ya ugangani,

Ukitaka ishinao, jifanyewewe mjinga.


Watanga kwa majivuni, hakuna tena nchini,

Hjawachelewi kulani, wakipewa mtihani,

Tanga watu wa kulani, harakati ziko chini,

Ukitaka ishinao, jifanye wewe mjinga.


Tanga kuzuli lakini! Kunapendeza machoni,

Hasa kwetu milimani,kule Lushoto nyumbani,

Tanga mjini jamani, KISIMA cha Qur-ani,

Ukitaka ishi Tanga, jifanye wewe mjinga.


Tanga jama amekeni, wa Tanga badilikeni,

Ngangari wote kueni, ndivyo apenda manani,

Watanga moto washeni, umwinyisasa acheni,

Ukitaka ishi Tanga,jifanye wewe mjinga.


Sita beti nimwishoni, Tanga kwenu ni fumboni,

Ngangari wapojueni, KILIMILE muoneni,

Wakali wa kila fani, Tanga hawakosekani,

Ukitaka ishi Tanga, jiganye wewe mjinga.


Almasi H. Shemdoe,

“Tunda la Matumaini”,
Dar es Saaam.
 

Kunani palee!
 

Osie zumbe shemdoe tizakuiva ukitigimbika tiughushiize mamdoe na walawi woshe
 
We unaonekana ulikuwa unapenda sana kuvuka reli!
Teh teh teh teh !

Hahaha!!!!!....
Nimetambuka reli mimi na chungu cha fusho nimeivishwa nacho UNyagoni Lushoto

Watatuona hivi...lakini hawatuwezi

Ndo mana yakeeee...!!!!!

Shem huyu atusemaye siye Watanga labda hajafika kwetu...

Nashukuru kwa kunifagilia kwani Tanga ni kwetu.

Mmeona ee watu8 na Mkereketwa_Huyu.... TA kiboko!!!!!


Japo natokea Lushoto ila ndugu zangu wa Tanga mnauthi sana mnapo shabikia Magamba ila kwenye mambo yetu ya baikoko ya kitandani nime wakubali!
Nzeze waume na wandee!!!?...

Acha zako wewe, sie tunakava sekkta zote.
 
Last edited by a moderator:
Mara nyingi watu wakitaja tabia za watu wa tanga wanaongelea tabia za watu wa tanga mjini na kuacha wilaya nyengine. Tanga na pangani tabia zafanana, ila ukija muheza, handeni, lushoto, korogwe ni tofauti.
 
Mara nyingi watu wakitaja tabia za watu wa tanga wanaongelea tabia za watu wa tanga mjini na kuacha wilaya nyengine. Tanga na pangani tabia zafanana, ila ukija muheza, handeni, lushoto, korogwe ni tofauti.

Sasa mkuu. Kwa mujibu wa uzi huu.!
Huko sio tanga!
Maneno yoote. Mjini tanga!
Teh teh teh teh!
 
Hapo waume ulimaanisha 'wagosi'?
Japo natokea Lushoto ila ndugu zangu wa Tanga mnauthi sana mnapo shabikia Magamba ila kwenye mambo yetu ya baikoko ya kitandani nime wakubali!
Nzeze waume na wandee!!!?...
 
Vikiidima utegona mbwai n'mbwai
Osie zumbe shemdoe tizakuiva ukitigimbika tiughushiize mamdoe na walawi woshe

Umeona eeh. Tumeenea kama shuka la eda!
Mndele MadameX, Tanga kiboko yao.
hapana chezea watoto wa TA sisi.
Huku Arabela, pale King'asti, kule wewe MadameX ...... Kule KOKUTONA.
Tukiwa na kaka yetu watu8 anasimamia showwwww.....

Hawatuwezi hawa. Taifa kubwa!
Wandee hebu njooni wanatunyanyapaa hawa King'asti Madame B
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…