Haaaa haaaa haaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....mkuu nimebaki nakuonea huruma tuu...Tusio na magari tunakomaje? Nawaomba tuwavumilie wenye magari na vichambo na manyanyaso. Usishangae ukiwekewa tambara chini usichafue kapeti la gari, au kufungiwa mlango (ukifunga wewe utaharibu!!!). Usifungue vioo na Ac hawashi. achilia mbali yale maangalizo unayopewa utasikia... huko nyuma kuna laptop ... Gari hii sasa hivi Yadi ni Shilingi Milioni..... ukiagiza nje ni Shiling.... Mafuta ya kuweka shilingi elfu ishirini ishirini yanaharibu pampu... hata kama hujauliza. ole wako usimsifie utaisoma ya JPM.
Mada ya mwenye gari ni mada kuuu usianzishe mada na hata kuchangia kuwa mwangalifu hasa kama mwenye gari yuko na wife/mchepuko utasikia ile saiti ... viza inasumbua sana... exchange rate leo ilikuwa balaa. hivi zile milion tisa alilipa?
NDO SWAGA ZAO.
Kudadeki nimeanza kuweka akiba ya kununulia namimi gari kila mwezi naweka Sh 65,000/- ni mwezi wa tisa sasa. Hivi gari bei gani?
WENYE MAGARI BIG RESPECT KWENU LAKINI MUNGU ANAWAONA !!!!!!
Gari za siku hizi bodi zake nyanya Sana... Ukitaka usiumie nunua pijo 504 hata juu ya bonet utakaa... Passo akiegemea mlango unaweza hata kugoma kufungukaHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.
Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Paki hewaniHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.
Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Mpyabila shaka ndo gari yako ya kwanza kununua wamekuskia mkuu
Magari ya Mikopo Haya... yanatia Watu UchiziHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.
Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Mnaaa ndiyo nini mkuu???Hiyo itakuwa gari ya mkopo tena benki ya twiga bancorp maana we jamaa ni mnaaa
Yan hapo umemkuna na ikiwezekana alale nalo kwa kweli cha mtu maviiiii...teh hee hee.,ukirudi home ingia nalo chumbani!
.utazoea lakini
Kama haibi chochote tambua ni Mlinzi namba mbili wa gari lako baada ya Lock ya milango.Hii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.
Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
Kwani tumekwangua Na kuvunja taa ??? Ukishuka ingia nalo ndaniHii tabia ya kuegemea magari ya watu hovyo hovyo tu ipo sana hasa hasa jijini Dar ee Salaam. Umepaki gari lako, salama bin salmin kutoka na kurudi unakuta Jitu limeegemea garil lako, tena kwenye taa, halijui hata bei ya taa wala rangi.
Hii tabia ni kero sana naomba ikomeshwe.
...teh hee hee.,nimemkuna??..unamtafuta,jamaa ana hasira ujue?Yan hapo umemkuna na ikiwezekana alale nalo kwa kweli cha mtu maviiiii