Kweli kabs hii tabia inakera, sasa ukiona hivyo dawa yao ni ndogo sn me huwa nikishaona wananichungulia huwa ninaandika bonge la tus then unajifanya kama unawanyanyulia sm ili wasome vizur unawawekea kwa mda ili wasome vizur, hizi ni tabia za kishenz sna, hawa wanafanana na watu wanaotuchunguliaga madirishan au vyoon
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums