tabia gani

Ukuni wangu ukipata hamira, nahitaji utendewe haki soon!
Mambo ya kupangiwa mgao kama umeme wa Tanesco kwangu nishaTUPA kulee!
Sijui nayo ni tabia mbaya au nzuri !
Mimi sijui.

hahaa! nayo ni tabia. na tabia hujenga mazoea.
 

dah,hyo kali ya kudumbukiza mchanga. vp ulikuwa huon aibu kuwa naked kw
https://www.jamiiforums.com
 
Last edited by a moderator:

dah,hyo kali ya kudumbukiza mchanga. vp ulikuwa huon aibu kuwa naked kw
https://www.jamiiforums.com
 
Last edited by a moderator:

bby, usiseme kila kitu sasa
 
Last edited by a moderator:
Sawa baby switi wangu.
Siendelei...!!
Sasa vp leo hatuendi pale SportsPUB-BBQ Sinza?
Nimemisi kugonga mvinyo..!!

njo unpitie hapa carabash.. ila leo sinywi dear, hiz hang over zitaniua.!!
 
heri yako umeweza kuacha, me mpaka leo natafuna kucha, na wanangu wote nao wanatafuna kucha, ila nawadhibiti waache mana wacje wakakua na hyo tabia wakaendelea nayo.

dah,pole. may b ujitahd kuwa na pipi au big g mfukona ukihc hamu ya kutafuna kucha unazitafna. me nlifanyaga hvo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…