CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
hbr za mwisho wa juma wanajf, hv ni tabia gani iliyowahi/inayokukera ambayo ulitake time kuiacha/ unashindwa kuiacha. mf. me nilikuwa nakerwa na tabia ya kutafuna kucha, ilifka wakat mpak vidole vikawa vinauma bt nlishindwa kuacha. thnx God nimeacha cku hz!
kunusa watu kama beberu, bado sijaacha.
Mie nina tabia ya kupenda kuvua nguo, yani ukiniacha peke yangu tu, nishachojoa.
Mie nina tabia ya kupenda kuvua nguo, yani ukiniacha peke yangu tu, nishachojoa.
unawanusa kutafuta nini?
hee sasa ukisha chojoa nguo na upo pekeyako inakuwaje.du.
kupenda kutumia mda mwingi ktk neti ila saivi namshukuru mungu nimeweza kupunguza kwa kiwango kikubwa sana
kunywa bia.. yani nkiona chuichui tu mate yananitoka.!!! but xa iz nafuu napga mizinga yangu kumi tu ya konyag nalala...
Anatafuta handass! Si vinginevyo.
hbr za mwisho wa juma wanajf, hv ni tabia gani iliyowahi/inayokukera ambayo ulitake time kuiacha/ unashindwa kuiacha. mf. me nilikuwa nakerwa na tabia ya kutafuna kucha, ilifka wakat mpak vidole vikawa vinauma bt nlishindwa kuacha. thnx God nimeacha cku hz!
Mie nina tabia ya kupenda kuvua nguo, yani ukiniacha peke yangu tu, nishachojoa.