Detective Dee
Member
- Sep 20, 2015
- 51
- 17
Ndug zangu kam kuna mtu anaye ijua taasisi au shirika au kampuni yoyote inayotoa msaada wa kuwasomesha wanafunzi wa elimu ya juu naomba tujuzane ili walengwa waweze kupata huo msaada asanteni.
Uskatee tamaa na bodi ya mikopo wasumbue mpaka tone la mwisho watakusomesha kma una sifa za kusomeshwa na HESLB