Taarifa ya daktari wa rais


Tafakari!
 

Kwa hiyo ina maana haujajulikana?
 
jamani mie nauliza kwani mheshimiwa anaumwa nini ..naona hapo wote hamkubaliani na hiyo report ya Dr wake ..


Nadhani First lady unajua tatizo la Mkuu wetu kuliko hata Daktari. Sasa siju unategemea kujibiwa na nani wakati tukitilia shaka maelezo ya daktari wake tunakuuliza wewe?
 

Acha uvivu kaka,kila kitu Mwanakijiji tuuuu,muoneeni huruma mwenzenu jamani,yaani wewe kuielewa taarifa mpaka Mwanakijiji aongee...Lol!!!!!!!
 
Dah mi hata sijui nimwamini nani katka hili. Ila LISEMWALO LIPO KAMA HALIPO LAJA. ngoja nisubiri kwenye kona, huenda nikaja kutambua ukweli siku za mbeleni.
 
Acha uvivu kaka,kila kitu Mwanakijiji tuuuu,muoneeni huruma mwenzenu jamani,yaani wewe kuielewa taarifa mpaka Mwanakijiji aongee...Lol!!!!!!!
Ndio wale wale ambao hata kusali ni wavivu wanapigia wachungaji simu usiku na kuwaomba wawaombee!
 
tatizo wanasiasa wetu wameongopa kupita kiasi, sasa hata wanaposema ukweli inakuwa vigumu wananchi waliodanganyika kwa muda mrefu kuamini.

the bottom line is, rais hayuko fit enough. wapo marais wazee zaidi barani Afrika wanaopiga mzigo kuliko Kikwete, plus migogoro ya kisiasa mizito (Kibaki + Mugabe), lakini hutasikia hata siku moja engine zina mgogoro.
 
Ndio wale wale ambao hata kusali ni wavivu wanapigia wachungaji simu usiku na kuwaomba wawaombee!
kiongozi umenichekesha sana..mwe unapiga simu kwa mchungaji kumuambia awaombeee teh
 

mkuu umetoa mifano sawia..Mugabe anapigwa mikwara kila upande plus viungulia anavopewa na tshivangarai lakini yuko stable anadunda tu .JK engine inatakiwa kufanyiwa overhaul
 
Acha uvivu kaka,kila kitu Mwanakijiji tuuuu,muoneeni huruma mwenzenu jamani,yaani wewe kuielewa taarifa mpaka Mwanakijiji aongee...Lol!!!!!!!

Ni kweli naweza kuwa mvivu, lakini nadhani mwenzangu utakuwa mvivu zaidi wa kuelewa nilichokuwa nikimaamisha. Nacho ni ushirikishaji wa mtu katika kubadilishana mawazo. Pole mvivu mwenzangu. Ila unakusudia kupotosha mjadala hilo halikuwa la kujadili.
 

Ndugu yangu taratibu na huko kuunganisha dots, usije ukafumua yaliyojificha.
 
Alitamka mwenyewe kuwa alishauriwa akakataa; sasa atakuwa anafuata ushauri.
Namshauri JK afuate hata ushauri juu ya kuwang'oa mafisadi vinginevyo huku kuanguka kwake kunaweza kuwa kuanguka kabisa na mafisadi wake
 
Acheni unyanyapaa jamani.Stigma and Discrimination is evil.Ingekuwa wewe?

Usijisikie vibaya. Hayo ndo matokeo ya siasa ktk nchi ambazo hazina ethics. Si umesikia yaliyotokea ufaransa? Tungekuwa na utaratibu mzuri kama huo uongo ungekoma na heshima ingekuwa juu, lakini siyo hali tuliyonayo.
 
Jamani sasa mtu asiugue...yeye ni binadamu kama binadamu wengine kwa nini watu wanajaribu kumpangia nini anaumwa daktari amefafanua kinachomsumbua mheshimiwa nadhani inatosha.
 

Colonoscopy alifanyiwa mwaka 2007 ufaransa kwahiyo someone was acting President; lakini hili la kusema kuwa walishauriwa kuwa afanye tena baada ya miaka saba ndio linanifanya niwe na shaka na ripoti ya huyu daktari!! Kumbuka Mkulu ana miaka 59 sasa chances za vimelea kuota kwenye utumbo mkubwa ni significant!!
 

Mficha kidonda guu huota tende...
Hili swala la kufichaficha mambo halipati kuisha, tulitegemea briefing ya Dr. siku hiyo hiyo ya tukio, maana anakili hata vipimo vya Mh. Rais alivipata right away, lakini wapi... mpaka Tz blogsphere ilikomalie ndiyo waingie kwenye 'overdrive' kujihami na kujaribu kuweka mambo sawa.

Hii report ilivyo ndefu imenikumbusha thread hii: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/17215-rais-kikwete-aenda-marekani.html#post274647. Ambapo machinery ya Ikulu ilibidi ifanyekazi overtime kuhalalisha mambo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…