balimar JF-Expert Member Sep 18, 2015 7,563 13,276 Jun 9, 2017 #2 TMA will continue to monitor situations? Are these guys have such capability? Hizi nchi zetu zinazo tatizo la kimsingi sio bure. Monitor situtions????
TMA will continue to monitor situations? Are these guys have such capability? Hizi nchi zetu zinazo tatizo la kimsingi sio bure. Monitor situtions????
E eddy JF-Expert Member Dec 26, 2007 15,085 10,059 Jun 9, 2017 #3 Hawa jamaa walisema mvua zitanyesha hadi mwezi wa saba nikalima mahindi mvua zimekata mahindi hata kuchanua bado, sijui niwaroge? Hivi hawa TMA wakitudanganya tunaweza washitaki mahakamani?
Hawa jamaa walisema mvua zitanyesha hadi mwezi wa saba nikalima mahindi mvua zimekata mahindi hata kuchanua bado, sijui niwaroge? Hivi hawa TMA wakitudanganya tunaweza washitaki mahakamani?
M Mkiti JF-Expert Member Nov 28, 2013 1,013 666 Jun 9, 2017 #4 eddy said: Hawa jamaa walisema mvua zitanyesha hadi mwezi wa saba nikalima mahindi mvua zimekata mahindi hata kuchanua bado, sijui niwaroge? Hivi hawa TMA wakitudanganya tunaweza washitaki mahakamani? Click to expand... TMA utabiri tuu. Si zaidi ya utabiri.
eddy said: Hawa jamaa walisema mvua zitanyesha hadi mwezi wa saba nikalima mahindi mvua zimekata mahindi hata kuchanua bado, sijui niwaroge? Hivi hawa TMA wakitudanganya tunaweza washitaki mahakamani? Click to expand... TMA utabiri tuu. Si zaidi ya utabiri.