Taarifa Mamlaka Ya Hali Ya Hewa Tanzania(TMA), kutakuwepo upepo mkali na mawimbi ukanda wa Pwani

TMA will continue to monitor situations?
Are these guys have such capability?
Hizi nchi zetu zinazo tatizo la kimsingi sio bure.
Monitor situtions????
 
Hawa jamaa walisema mvua zitanyesha hadi mwezi wa saba nikalima mahindi mvua zimekata mahindi hata kuchanua bado, sijui niwaroge?

Hivi hawa TMA wakitudanganya tunaweza washitaki mahakamani?
 
Hawa jamaa walisema mvua zitanyesha hadi mwezi wa saba nikalima mahindi mvua zimekata mahindi hata kuchanua bado, sijui niwaroge?

Hivi hawa TMA wakitudanganya tunaweza washitaki mahakamani?
TMA utabiri tuu. Si zaidi ya utabiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…