Wanaishia kuchanganya siasa na kazi za taaluma. Mfano uendeshaji wa taasisi nyeti kama Tanesco umegubikwa na siasa ukichunguza hasa. Wahuni watanikana kwa ili, ngoja nitoe mfano;Kipindi hiki kesi ya Lisu inavuma kila siku, sasa kwa kuwa vyombo vya habari hapa nchini vipo kapuni wanachojitahidi kudhibivi vyombo vya nje visisikike hususan maeneo ya kimkakati, wanakata umeme muda wao wa matangazo ukifika. Hasa kukiwa na kitu moto! siku hiyo.
Watakata kama dakika 10 hivi wanaleta bila taarifa. Nyuma kidigo huduma kwa wateja iliimarika kwa kuwatumia text meseji wateja wao eneo husika kuwaeleza kama kuna matengenezo . Ila sasa wamesitisha. Najua watajitetea kwa hili na hizo ndio siasa zenyewe. saa 3 kamili au kasaro jana tarehe Feb, 20 wamizima maeneo flan Dar es salaam muda ambao BBC ipo hewani. Shenzi hawuni