Taa za barabarani Sinza ni kero

Taa za barabarani Sinza ni kero

young arrogant

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
267
Reaction score
440
Habari wanabodi
Tunashukuru sana kwa matengenezo makubwa ya Barabara ya Bamaga to Shekilango...
Hakika imekuwa ya kuvutia sana sana
Lakini kosa la kiufundi ni kuamua kufunga taa za kuongozea magari...!
Kwa siku mbili hizi tu, nimeona hizi taa zimekuwa zikiongeza foleni badala ya kupunguza..
Mfano inabidi kusubiri taa ikuruhusu hata kama upande wa pili hamna gari yoyote..
Pili ujazo au wingi wa magari si mkubwa kiasi kwamba kuwe na ulazima wa kufunga hizo taa..
Tatu, naona ni bora ule utaratibu wa wazammani wa kupita kwa kusubiriana ungerudishwa ili kuokoa muda maana barabara imekuwa ni pana kiasi kwamba hakuna kugombea njia. Kuliko walivyofanya kutukusanya kwenye Traffic Light...!
Nashauri taa zingebaki Mwanzo na Mwisho kww maana ya Bamaga na Shekilango..
Lakini kuweka Sinza Mugabe, Sinza Kijiweni , Sinza Makaburini, Sinza Mori (Bigbon) Sinza Mapambano na Afrikasana ni upotevu wa Pesa na kuwapotezea muda watumia wa barabara hiyo...!
Ahsante
 
Sinza kuna mataa? Sehemu gani?

Naona wanataka kuweka ile u-turn ya pale Magufuli Hostels na pia kona ya kutoka Mawasiliano towers kwenda simu 200.

Kila after taa ujue kuna trafick. Yaani sahivi hauchomoi.
 
Habari wanabodi
Tunashukuru sana kwa matengenezo makubwa ya Barabara ya Bamaga to Shekilango...
Hakika imekuwa ya kuvutia sana sana
Lakini kosa la kiufundi ni kuamua kufunga taa za kuongozea magari...!
Kwa siku mbili hizi tu, nimeona hizi taa zimekuwa zikiongeza foleni badala ya kupunguza..
Mfano inabidi kusubiri taa ikuruhusu hata kama upande wa pili hamna gari yeyote..
Pili ujazo au wingi wa magari si mkubwa kiasi kwamba kuwe na ulazima wa kufunga hizo taa..
Tatu, naona ni bora ule utaratibu wa wazammani wa kupita kwa kusubiriana ungerudishwa ili kuokoa muda maana barabara imekuwa ni pana kiasi kwamba hakuna kugombea njia. Kuliko walivyofanya kutukusanya kwenye Traffic Light...!
Nashauri taa zingebaki Mwanzo na Mwisho kww maana ya Bamaga na Shekilango..
Lakini kuweka Sinza Mugabe, Sinza Kijiweni , Sinza Makaburini, Sinza Mori (Bigbon) Sinza Mapambano na Afrikasana ni upotevu wa Pesa na kuwapotezea muda watumia wa barabara hiyo...!
Ahsante
Kwa upande usio na kuruhusiwa wakati hamna magari, hilo siyo tatizo la Sinza pekee, ni la Dar nzima na pengine nchi nzima. Hakuna sensors barabara za kutambua uwepo wa magari au la!
 
Sinza kuna mataa? Sehemu gani?

Naona wanataka kuweka ile u-turn ya pale Magufuli Hostels na pia kona ya kutoka Mawasiliano towers kwenda simu 200.

Kila after taa ujue kuna trafick. Yaani sahivi hauchomoi.
Umepita lini mara ya mwisho..!?
 
Back
Top Bottom