Mkuu mambo yamebadilika, sasa hivi ugonjwq huo unatibiwa kamw kawaida.
Kikwazo hapo ni oesa ya matibabu.
Kuna ndugu yangu mmoja mwezi March mwaka huu alisafiri kwenda Tabora.
Alipofika huko, ghafla choo ndogo ikafunga, akawa hoi kweli.
Baada ya vipimo ikagundulika kuwa alikuwa na tezi dume akaandikiwa upasuaji.
Alifanyiwa hapo hapo Kitete Tabora, akakaa siku nne wodini kisha siku ya tano akapewa ruhusa.
Nawasiliana naye alishapona kabisa kwa sasa anaendelea na shughuli zake.