Mimi sio fundi simu sina box...huyo fundi kama hana chimera au z3x nenda kwa fundi mwenye hizo box
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Ok Niko vijijini hakuna fundi mwingine zaidi ya huyu ila amesema akipata hiyo chimera anaweza fanya tu. Shida ndo sijui inapatikana wapi
Chimera ya nini tena. Hyo Samsung unapiga na Odin tu unatembea mbele. Huyu fundi wako hajui kuhusu Odin?
Odin haifuti imei number ukiflash official firmware. Hzo tools anazotafta ndio ata force firmware za model zingine. Odin yenyewe haikurihusu kuflash firmware zisizoingiliana. Ni 100% safe ukitumia official firmwareAmenambia bila backup ya imei inaweza ku collupse na isiwe ze kuwa simu tena
Mkuu xhukua pc weka bando fundishwa na wadau na siku ikitokea umeharib tayari ndio ushakua fundi na utafundisha na wenzio automaticallyAmenambia bila backup ya imei inaweza ku collupse na isiwe ze kuwa simu tena
T mobile ni hovyo kwa hapa bongo ,hizo simu ni huko huko USA.Ndugu wana JamiiForums forum naomba msaada kwa mwenye kujua Jinsi ya kurekebisha hiyo simu. Ilikuwa na line mbili inashida ya network kwenye upande wa data , ila kupiga inafanya kazi kama kawaida. Na net ilikuwa inashika kwa baad hi ya maeneo na mengine haishiki hasa sehemu nayoishi. Nikapeleka kwa fundiakabadilisha file kwakuwa alisema original yake ni file ya line 1. Akabadili file ikiwa simu Ina line moja na fundi akanihakikishia akizeeka file la line 1 itakuwa imepona kabisa sasa Alivobadili file ikiwa haishiki kabisa nikamuomba arudishe file la zaman kwakuwa nilikuwa naweza kupiga na mesage sasa kashindwa anasema simu imekuwa updated na inavitu vingine zaidi ambapo file hilo amelitafuta halioni tena mfano anasema kuna kitu kina iets binary kabla hajabadili file ilikuwa ina binary 3 na baada ya kubadili na ku up to date I kawa na binary 4 . Simu umekuwa sio simu tena naomba msaada. Mwenyekujua ma I. T karibu ni kina chief Mkwawa na wengine mnaojua nisaidien , kama kuna file lingine anaweza EK’s na Ilses mzima kama mwanzo.
Mkuu, huyu jamaa hayupo tayari kujifunza.Odin haifuti imei number ukiflash official firmware. Hzo tools anazotafta ndio ata force firmware za model zingine. Odin yenyewe haikurihusu kuflash firmware zisizoingiliana. Ni 100% safe ukitumia official firmware
Kweli. Huyo fundi anyetafuta Chimera kwa jambo dogo tu la kutumia Odin atamletea matatzo bure. Huyo atampiga firmware ya model ambayo siyo na CSC ambayo siyo. Firmware zipo online bure kabisa na Odin ina flash vizuri kabisa hakuna haja ya kutafta tools zingine kma simu ni mali yako kihalali.Mkuu, huyu jamaa hayupo tayari kujifunza.
Ana insist kutafuta fundi.
Nilishawahi ku deal na simu same model ya Korea, haikuwa na google services na zilikuwa hazikubali
Nililiga tutorial Sammobile na nikafanikiwa.
WaTz wengi wavivu wa kujifunza mambo, na ndo mtaji wa mafundi uchwara mtaani.
Kweli. Huyo fundi anyetafuta Chimera kwa jambo dogo tu la kutumia Odin atamletea matatzo bure. Huyo atampiga firmware ya model ambayo siyo na CSC ambayo siyo. Firmware zipo online bure kabisa na Odin ina flash vizuri kabisa hakuna haja ya kutafta tools zingine kma simu ni mali yako kihalali.