Wamamoyo1 Member Joined Apr 21, 2014 Posts 10 Reaction score 0 Jun 3, 2014 #1 Wadau hivi taratibu za mtihani wa kidato cha sita ukoje siku hizi kwa watahiniwa wa kujitegemea? nataka kurisiti. nataka kujua ada ya mtihani na mwisho wa kulipia. asanteni.
Wadau hivi taratibu za mtihani wa kidato cha sita ukoje siku hizi kwa watahiniwa wa kujitegemea? nataka kurisiti. nataka kujua ada ya mtihani na mwisho wa kulipia. asanteni.
chakii JF-Expert Member Joined Sep 15, 2013 Posts 21,365 Reaction score 27,764 Jun 3, 2014 #2 Peleka Jukwaa la Elimu Utapata Majibu Mkuu!!
zugimlole JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 2,085 Reaction score 1,361 Jun 3, 2014 #3 Sio mahala pake kiongozi jaribu chumba kingine