J Jamaa_Mbishi JF-Expert Member Joined Jun 15, 2013 Posts 10,185 Reaction score 7,368 Oct 26, 2013 #21 kamwache said: naombeni kuwauliza wadau. Hv ni sehemu gani Morogoro za kugegeda? Click to expand... Una kiasi gani? Kuna mashamba ya kugegeda miti, mpunga, mahindi na mtama....ni hela yako tu mkuu. Kuna ya kuanzia milioni mbili hadi 100 kwani ardhi ya kugegeda ni kubwa mno.
kamwache said: naombeni kuwauliza wadau. Hv ni sehemu gani Morogoro za kugegeda? Click to expand... Una kiasi gani? Kuna mashamba ya kugegeda miti, mpunga, mahindi na mtama....ni hela yako tu mkuu. Kuna ya kuanzia milioni mbili hadi 100 kwani ardhi ya kugegeda ni kubwa mno.
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Oct 26, 2013 #22 tafuta mtaa wa shauri moyo kuna hotel inaitwa LYAKUCHA hotel ni nzuri sana ni full ac mkuu