Ushauri wangu 4 x 4 ni kwamba kwanza jipende wewe mwenyewe.kwa kula vizuri, kuvaa vizuri, kuwa mkarimu , timiza wajibu wako kwa mume na watoto kama wapo. Mengine ni magumu sana kuyabadilisha. Wanawake pia huwa tunafikiria mambo mengi kwa wakati mmoja, punguza kuulizia issues au kuongelea matatizo( kulalamika). Try ti make yourself happy by all means. hapo kwa kweli mwanaume ataona mwanamke si ndio huyu.