SWALI LA UELEWA: Timu ikichukua Kombe ambalo haibebi moja Kwa moja ikilirudisha inabaki na kumbukumbu gani?

Tunaambiwa pale England Manchester United imebeba Kombe x20, hapa Tanzania Yanga wanalo x29. Ukienda Uganda SC Villa wamebeba mara kadhaa hata pale Israel kuna Macabi Haifa wababe wa soka la nchi hiyo.

Tunaambiwa utaratibu timu ikichukua mara 3 mfululizo kama ilivyofanya Man City juzi ndo inapewa Kombe moja Kwa moja na kama siyo mara ya Tatu inatakiwa kulirudisha siku kadhaa kabla bingwa mpya hajakabidhiwa.

Swali langu ni kwamba yenyewe inabaki na kumbukumbu gani ya Hilo Kombe kwenye kabati zake?

Kuuliza si ujinga?
Unatoa mifano ya mbaaaaaaaaali wakati ya karibu ipo

SIMBA SC KABEBA MARA NNE MFULULIZO,LIPO LIMETULIA TULIIIIIIIIIIIII
 
Tunaambiwa pale England Manchester United imebeba Kombe x20, hapa Tanzania Yanga wanalo x29. Ukienda Uganda SC Villa wamebeba mara kadhaa hata pale Israel kuna Macabi Haifa wababe wa soka la nchi hiyo.

Tunaambiwa utaratibu timu ikichukua mara 3 mfululizo kama ilivyofanya Man City juzi ndo inapewa Kombe moja Kwa moja na kama siyo mara ya Tatu inatakiwa kulirudisha siku kadhaa kabla bingwa mpya hajakabidhiwa.

Swali langu ni kwamba yenyewe inabaki na kumbukumbu gani ya Hilo Kombe kwenye kabati zake?

Kuuliza si ujinga?
Wanalipiga picha, wanahifadhi kwenye ALBUM.
 
Nilimsikia msemaji wenu siku moja akijigamba kombe litakuwepo Jangwani kwa vizazi na vizazi nikasema huyu hajui asemalo.

Ukitengeneza mfanano wa kombe hilo kwa ajili ya kumbukumbu au "replica" sheria za CAF zinaweza kuwa haziruhusu maana unacopy ubunifu bila ruhusa ya muhusika.

Rekodi za picha, video, maandiko zinatosha kuweka kumbukumbu ila kama una ubavu pambana ushinde mara tatu mfululizo wakupe ukae nalo.
Jibu lako hili hapa, jaribu kutembelea ma shelf ya real Madrid au timu nyingine yoyote iliyochukuwa uefa au kombe lolote kubwa.
Screenshot_20230525-130248.jpg
Screenshot_20230525-130050.jpg
Screenshot_20230525-130004.jpg
 
Nilimsikia msemaji wenu siku moja akijigamba kombe litakuwepo Jangwani kwa vizazi na vizazi nikasema huyu hajui asemalo.

Ukitengeneza mfanano wa kombe hilo kwa ajili ya kumbukumbu au "replica" sheria za CAF zinaweza kuwa haziruhusu maana unacopy ubunifu bila ruhusa ya muhusika.

Rekodi za picha, video, maandiko zinatosha kuweka kumbukumbu ila kama una ubavu pambana ushinde mara tatu mfululizo wakupe ukae nalo.
Copying inaruhusiwa kwa klabu iliyochukua kombe kwa ajili ya kuweka kumbukumbu.

Mshindi wa pili haruhusiwi kukopi.
 
Tunaambiwa pale England Manchester United imebeba Kombe x20, hapa Tanzania Yanga wanalo x29. Ukienda Uganda SC Villa wamebeba mara kadhaa hata pale Israel kuna Macabi Haifa wababe wa soka la nchi hiyo.

Tunaambiwa utaratibu timu ikichukua mara 3 mfululizo kama ilivyofanya Man City juzi ndo inapewa Kombe moja Kwa moja na kama siyo mara ya Tatu inatakiwa kulirudisha siku kadhaa kabla bingwa mpya hajakabidhiwa.

Swali langu ni kwamba yenyewe inabaki na kumbukumbu gani ya Hilo Kombe kwenye kabati zake?

Kuuliza si ujinga?
Unabaki na picha.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Jibu lako hili hapa, jaribu kutembelea ma shelf ya real Madrid au timu nyingine yoyote iliyochukuwa uefa au kombe lolote kubwa.View attachment 2634238View attachment 2634239View attachment 2634240
Ndiyo maana nikasema mashindano yanatofautiana sheria na kanuni zake. Bingwa wa Mapinduzi Cup huwa anarudisha kombe? Bingwa wa ligi kuu ya Tanzania huwa anarudisha kombe?
Ila sheria za CAF zinasema wazi kombe la CL baada ya muda unalirudisha, utalichukua moja kwa moja pale tu ukishinda mara tatu mfululizo.

Ninachodhani mimi mashindano ya ligi za ndani duniani kote huwa kila msimu wanatoa kombe jipya. Hata UEFA ukiliangalia kombe lenyewe lilivyo sidhani kama limetengenezwa kwa gharama kihivyo kwa hiyo sitashangaa kukuta wanatoa jipya kila msimu.
 
Tunaambiwa pale England Manchester United imebeba Kombe x20, hapa Tanzania Yanga wanalo x29. Ukienda Uganda SC Villa wamebeba mara kadhaa hata pale Israel kuna Macabi Haifa wababe wa soka la nchi hiyo.

Tunaambiwa utaratibu timu ikichukua mara 3 mfululizo kama ilivyofanya Man City juzi ndo inapewa Kombe moja Kwa moja na kama siyo mara ya Tatu inatakiwa kulirudisha siku kadhaa kabla bingwa mpya hajakabidhiwa.

Swali langu ni kwamba yenyewe inabaki na kumbukumbu gani ya Hilo Kombe kwenye kabati zake?

Kuuliza si ujinga?
Mnapewa copy siu hio hio mkisha malisha kupiga nalo picha uwanjani, kwa kifupi now day copy wanakuwa nayo uwanjani siku hio na mnakabidhiwa nyuma ya kamera
 
Back
Top Bottom