SWALI LA MSINGI

CHIMBULI WA CHIMBULI

JF-Expert Member
Jan 10, 2013
468
160
Kwa nini Imani za dini kubwa Duniani zinachimbuka kutoka Mashariki ya kati, yaani nchi za Iraq, Syria, Israel, Saud Arabia n.k lakini mauaji mengi pia yasiyo na hatia yanatoka huko? What is the source? Mitume na manabii wengi pia asili yao ni ASIA kwa WAKRISTO NA WAISILAM. Kwanini watu hao hao ambao ni Asili ya imani za Dunia ndio chanzo cha Uhasama na mauaji mengi pasi Kuogopa Nguvu ya Mungu?
 
Kwani anayesababisha hayo mauwaji huko Middle east humjui?
Aliyetengeneza vikundi vya kigaidi humjui? Anaefurahia mauwaji ya watu wasio na hatia humjui?
Anayepunguza idadi ya watu kwa njia ya vita huko middle east humjui? Hujui chanzo cha mauwaji Iraq,Syria ni nani? Hujui Israel anapewa support na nani ya kuuwa raia wasio na hatia kwenye Ardhi yao? Ina maana ni kweli hujui chanzo cha mauwaji katika hizo sehemu ulizozitaja? Sitaki kuamini Aisee!!
 
Kwani anayesababisha hayo mauwaji huko Middle east humjui?
Aliyetengeneza vikundi vya kigaidi humjui? Anaefurahia mauwaji ya watu wasio na hatia humjui?
Anayepunguza idadi ya watu kwa njia ya vita huko middle east humjui? Hujui chanzo cha mauwaji Iraq,Syria ni nani? Hujui Israel anapewa support na nani ya kuuwa raia wasio na hatia kwenye Ardhi yao? Ina maana ni kweli hujui chanzo cha mauwaji katika hizo sehemu ulizozitaja? Sitaki kuamini Aisee!!
Ndo maana kauliza mjibu apate kujua
 
Back
Top Bottom