Mfukutuzi
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 239
- 175
Leo nimekutana na ujumbe wenu mliotusambazia kwenye mitandao ya kijamii, mnatuambia eti Magufuli amepanda ghorofa "saba" kurudisha fomu, sawa sina tatizo hapo
Swali dogo la msingi; "Jengo la NEC lina ghorofa ngapi?"
BAADA YA MAJIBU hapo juu
Ushauri wangu: Angalieni na uongo wa kuwadanganya watanzania, zaidi ya hapo mtazidi kumshusha mgombea wenu badala ya kumpromote
Hata hivyo nadhani hoja ya watanzania si umaarufu wa kupanda ngazi za maghorofa, kwani tumewaambia tunataka wafagiaji wa ofisi, maana hawa ndo hulazimika kupanda ngazi ili wafanye usafi
Mnatutia wasiwasi, yawezekana hata mgombea wenu hajielewi anakurupuka tu, ni kweli tunajua Lowassa kawachanganya ila utulivu ni sehemu ya ushindi, mtapotezana na mtampoteza vibaya mgombea wenu, jifunzeni utulivu mpate kujenga hoja za msingi
Swali dogo la msingi; "Jengo la NEC lina ghorofa ngapi?"
BAADA YA MAJIBU hapo juu
Ushauri wangu: Angalieni na uongo wa kuwadanganya watanzania, zaidi ya hapo mtazidi kumshusha mgombea wenu badala ya kumpromote
Hata hivyo nadhani hoja ya watanzania si umaarufu wa kupanda ngazi za maghorofa, kwani tumewaambia tunataka wafagiaji wa ofisi, maana hawa ndo hulazimika kupanda ngazi ili wafanye usafi
Mnatutia wasiwasi, yawezekana hata mgombea wenu hajielewi anakurupuka tu, ni kweli tunajua Lowassa kawachanganya ila utulivu ni sehemu ya ushindi, mtapotezana na mtampoteza vibaya mgombea wenu, jifunzeni utulivu mpate kujenga hoja za msingi