Swali kwa wanaume

Curvyminx

Senior Member
Joined
Nov 29, 2016
Posts
182
Reaction score
233
Habarini!! I hope mko poa.
Nina swali haswa kwa wanaume, ila kina mama/dada pia mnaweza changia.
Humu kuna threads kibao waliojifunza mapenzi/kujamiiana kwa wadada wa kazi nyumbani, wengine mlianza mkiwa wadogo sana. Mila yetu kiAfrika tunaona kama huo ndio uanaume ila damage ni kubwa sana. Kuna comment zingine mtu anaandika umri aliozini kwa mara ya kwanza na dada, kiukweli, baadhi yenu mlikuwa abused, maana si kitu cha kufagilia kwasababu kwa umri uliokuwa nao, dada ndio alikuwa mtu mzima na wewe ndio ulikuwa mtoto. Usikute somewhere out there, yule dada aliondoka na uja uzito wako bila wewe kujua umefanya nini.

Swali langu ni, je ukijua leo hii, dada wa kazi anazini na mtoto wako wa kiume, utachukua hatua gani? vuta fikra mtoto wako wa kiume yuko chini ya umri wa miaka 10 na mwingine miaka 10-17.
Unamuelimishaje mtoto wa kiume? Hii karne imeharibika sana, malezi yetu na watoto wa leo ni vitu viwili tofauti.
 
Kwanza kabisa nitambana dada wa kazi athibitishe kama kweli dogo anamkaza,

Akinithibitishia kuwa dogo anamkaza, nambana tena anieleze ni jinsi gani dogo anatawala mchezo

Akinieleza dogo yupo vizuri najua kuwa nina jembe, namchukua dogo nampeleka kiwanja tunaenda kujirusha, maana siku hizi wanaume wa Dar wamekuwa wengi

Ila namsihi dogo awe makini
 
Hapo itabidi dada wa kazi nimuondoe.
Mtoto itabidi afundishwe athari za hiyo tabia kama hakufundishwa awali.Tabia/Mienendo ya watoto inatokana na mambo mengi japo.kama mwanao anakuona humpendi ni ngumu kukusikiliza ...

Wazazi inabidi tujitahidi kuwa zaidi ya marafiki wa watoto wetu, wawe huru kutuambia lolote na sisi tuwe karibu yao pia.
 
Kazi ipo kweli na wadada wengi wa kazi wana smartphone,
Hata ukimuona hana wewe fatilia kwenye begi,
Usiku ukifika kazi yao kuangalia xvideo yaan hata kumuacha mtoto kulala na housegirl si vizuri basi tu maisha yanakaba!
 
Nitajua house girl kabanwa, so itanibidi nichukue jukumu la kumsaidia
 
Kitanda hiki hakina shida yoyote na ni cha sita kwa sita godoro nchi 10
Chaga yake ni imara sana
Ni kitanda cha chuma
Bei ya kitanda peke yake ni 290,000
Ukichukua vyote 395,000
Location Dar ea salam
Njoo PM

you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Magonjwa je??
 
Ni kweli kabisa
 
Mtoa post mbona umeongelea upande mmoja! Je vp kuhusu ukisikia mtoto wako was kike anachezea mpini na houseboy imekaaje iyo kitu ni nzuri au tamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeongelea watoto wa kiume kwasababu jamii inawasahau, kwa mfano huu ni mwezi wa wanawake, kuna siku maalum ya mtoto wa kike wa kiafrika haimaanishi mtoto wa kiume nae hayuko hatarini na matatizo katika jamii yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…