Swali kwa Wanandoa

Hilo swali ni la kwa wanandoa, asa mbona nyie mmekurupuka kulijibu.

Ni kwa wana ndoa waliofunga ndoa kabisa na si kuvutana. Wink.

Hata kuishi pamoja si tayari ndoa jamani, ndiyo mana najiona mwanandoa halali tayari!:smile-big:
 
mi waif namuita KWA JINA LAKE....!
sina compromise na wala sihitaji ku-pretend
 
Mke/Mme sio ndugu!
Mke/Mme (mpenzi : true and false : the rising trend of small-house contradict this definition)
Mke/Mme (rafiki : partially true: can be true : women are great sympathizer although men are not!)
Mke/Mme (partner : partially true : you are sharing the activity although some do not!)
Mke/Mme sio mzazi mwenzio : Wengine hawana watoto lakini ndoa inaendelea)
 
mme/mke ni kila kitu ktk maisha ya mmoja wapo, ni mmpenzi, rafiki partner, etc (kwa kuwa tuliunganishwa tukawa kitu kimoja)
 
hapo umezidi kunikanganya (kunichakachua) ubongo
 
Yote ni majibu, ila inategemea na jinsi mahusiano yenu yalivyo. Wote humu tunakubaliana kuwa kuna ambao wameoa/kuolewa na watu ambao hawakuwa wapenzi wao (ilitokea bahati mbaya wakajikuwa wanalazimishwa ndoa), kwa hiyo huyo hawezi kuwa mpenzi. Pia kuna waliooa/kuolewa na ambao hawakuwa marafiki zao, so hawezi kuwa rafiki. Yaliyobaki ambayo ni common kwa kila mtu ni partner, mzazi mwenza, na msaidizi.
 

Baba baba! Babaaa Baba Huyooo.......................:becky::becky::becky::becky:
 
Je kwa wale wenye watoto...??
 
genau......ya nini malumbano bana....
unajua mkuu kwa sisi infidelators....!ni ngumu sana kumuita waif petii,switii,haniii,cutiii,sijui nini...!gumu banaaaaaaaa!nayatumia maneno hayo hayo nikiwa kwenye ''profesheni'' angu!again nikamdanganye na waif,!...

aaaaaaahhh GUMU SANA BANAAAAAAAA
 
unajua mkuu kwa sisi infidelators....!ni ngumu sana kumuita waif petii,switii,haniii,cutiii,sijui nini...!gumu banaaaaaaaa!nayatumia maneno hayo hayo nikiwa kwenye ''profesheni'' angu!again nikamdanganye na waif,!...

aaaaaaahhh GUMU SANA BANAAAAAAAA
hata kwenye 6 x 6 humwiti hayo majina?
 
hata kwenye 6 x 6 humwiti hayo majina?
simwiti!...
na kwakweli haibadilishi the fact kwamba ninampenda sana!
again...!SIWEZI KU-PRETEND KWA MKE WANGU!tuache maisha ya kwenye tamthiliya jamani
 
Mimi naona ana Majian mengi zaidi kutokana na vile alivyo.
Ila siyo ndugu yako maana undugu una maana direct zaidi.
ama sivyo wasingeachana
 
simwiti!...
na kwakweli haibadilishi the fact kwamba ninampenda sana!
again...!SIWEZI KU-PRETEND KWA MKE WANGU!tuache maisha ya kwenye tamthiliya jamani

Acha hizo inakuwa bado hujafika, au ni mwongo mkubwa. Kumbuka watu walishindwa wateule wa Mungu wakataja hata yale waliyo katazwa.
Si kama tufanyavyo sisi siku hizi bwana.
 

Mke/Mume sio mzazi mwenzako:tafiti nyingi zinaonyesha wanaume wengi wanalea watoto wasiokuwa wao. Wanabambikizwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…