Ni tangu mwaka 2001 tangu kuanzishwa kwa Bunge la E/Africa.
Swali langu ni nini faida ya kuanzishwa kwa Bunge hili?
Maana leo nimepata habari ya kuaminika ya kwamba kesho 23/05/2012 watakutana hapa Jijini Arusha.
Mwenye kujua faida yeyote iliyoletwa na kuunda kwa kitengo hiki kwa Taifa letu!
Nawasilisha!