Swali kwa WanaJF! Tangu kuanzishwa kwa Bunge la E/ Africa kuna faida gani kw Taifa?

LiverpoolFC

JF-Expert Member
Apr 12, 2011
11,348
3,219
Ni tangu mwaka 2001 tangu kuanzishwa kwa Bunge la E/Africa.

Swali langu ni nini faida ya kuanzishwa kwa Bunge hili?
Maana leo nimepata habari ya kuaminika ya kwamba kesho 23/05/2012 watakutana hapa Jijini Arusha.

Mwenye kujua faida yeyote iliyoletwa na kuunda kwa kitengo hiki kwa Taifa letu!

Nawasilisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…