LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,216
Ni tangu mwaka 2001 tangu kuanzishwa kwa Bunge la E/Africa.
Swali langu ni nini faida ya kuanzishwa kwa Bunge hili?
Maana leo nimepata habari ya kuaminika ya kwamba kesho 23/05/2012 watakutana hapa Jijini Arusha.
Mwenye kujua faida yeyote iliyoletwa na kuunda kwa kitengo hiki kwa Taifa letu!
Nawasilisha!
Swali langu ni nini faida ya kuanzishwa kwa Bunge hili?
Maana leo nimepata habari ya kuaminika ya kwamba kesho 23/05/2012 watakutana hapa Jijini Arusha.
Mwenye kujua faida yeyote iliyoletwa na kuunda kwa kitengo hiki kwa Taifa letu!
Nawasilisha!