Ni cifa zipi za mwanafunz kuchaguliwa chuo kiku kwan mwanafunzi mwenye dv1.8 dv1.9 au dv2.10 hawajachaguliwa hivyo hawana sifa je ni cifa gani zinatakiwa??
Alokwambia nani kama hawachaguliwi. Tatizo mtu ni kuingia katika course zenye competition kubwa lazima utemwe maana kuna wenzio wana 1.3 kama wewe una 1.8.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.