Swali kuhusu UKAWA

mcubic

Mtajitahidi sana kuleta propaganda zenu lkn hamtaweza kujua siri iliyoko kwenye ukawa.Ukawa wakipewa ridhaa watafuta katiba iliyopo na kuunda ya Warioba waliyoikataa CCM.
kwataarifa tu nikua chadema wanataka lazima mgombea urais atoke kwao na c vinginevyo
 
Last edited by a moderator:
Magamba tatueni yakwenu kwanza, Edo kugombea uraisi ama chama kumeguka,

UKAWA wamejipanga na wamejidhatiti ipasavyo

tukutane October
 
umoja wa kupambana na mafisadi wa ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…