Mtajitahidi sana kuleta propaganda zenu lkn hamtaweza kujua siri iliyoko kwenye ukawa.Ukawa wakipewa ridhaa watafuta katiba iliyopo na kuunda ya Warioba waliyoikataa ccm.
Cdm imejificha hapo ukawa bado wanasikillizia mziki wa act wekiona wanauweza watajitoa wajiona hawauwezi watakomaa huko huko . ndio maana wamezunguka nchi sasa hivi watakuwa wanafanya tasimini wamepata wanachama wangapi, na nguvu yao ikoje bila zitto.
Mtajitahidi sana kuleta propaganda zenu lkn hamtaweza kujua siri iliyoko kwenye ukawa.Ukawa wakipewa ridhaa watafuta katiba iliyopo na kuunda ya Warioba waliyoikataa ccm.
Swali naomba nisaidiewe jibu lake kutokana na Katiba ya nchi, Rais akiwa anatoka Bara makamu anakuwa anatoka Zenji na pia ni lazima wawe chama kimoja. Je! Kama mgombea urais akitoka CHADEMA, makamu wake atatoka chama gani? Kama ni wa CUF ina maana atahamia CHADEMA kama Katiba inavyosema lazima wagombea wawe chama kimoja au wote watatoka CHADEMA?
Makamu na rais? Sasa vyama vingine vitakuwa na kazi gani? Kama rais Slaa, makamu Seif Hamad, Je waziri mkuu atakuwa nani? Maana kati ya Lipumba au Mbowe nna uhakika mmoja lazima atataka kuwa hyo nafasi, Je mmoja wao atakubali kuiachia awe waziri wa kawaida? Ubunge wanasema wamekubaliana, Sawa, Je! hapa dar nani atakubali kumwachia mwenzake nafasi? Kama nafasi nyingi atapewa chadema, vyama vingine vitakubali?
Asanteni
Umeuliza swali na ukajijibu mwenyewe kutoka kwenywe kichwa chako bika kusubiri UKAWA wakupe majibu sahihi.mbaya zaidi unaanza kubisha hata kabla ya majibu kutolewa.what do you really want?